mkunga wa jadi
JF-Expert Member
- Jul 21, 2025
- 208
- 431
Na Shangazwa sana na Hawa hawasomi kitabu chao kinachopinga ushoga ?? kicha vipi wanaruhusiwa kuingia kanisani? hali yakuwa hukumu yao kwenye bibilia ni hii
2. Walawi 20:13
Mtu akilala na mwanamume kama vile alalavyo na mwanamke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauwawa, damu yao itakuwa juu yao.
2. Walawi 20:13
Mtu akilala na mwanamume kama vile alalavyo na mwanamke, wote wawili wamefanya machukizo; hakika watauwawa, damu yao itakuwa juu yao.