Hawa askari hapa wanalinda nini?

Hawa askari hapa wanalinda nini?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
137,692
Reaction score
272,558
Hivi ni kweli kwamba nchi hii haina vya kulinda?

Mwalimu_Nyerere_alipata_kusema_ili_tuendelee_tunahitaji_watu%2C_ardhi%2C_siasa_safi_na_uongozi...jpg
 
Ndio maana Lowassa alikua ana nia nzuri na watanzania, tunahitaji ukombozi wa kifikra kabla yakuweza kukombolewa kimaisha sisi wenyewe, hili dubwana kama lilishasaidia kuleta umoja, uzalendo na mshikamano wa kitaifa sasa hivi tunahitaji suluhu ya matatizo na sio vitu vya kuamini kama Mwenge, naungana na mtoa mada Tanzania sasa tunahitaji vitu tangible kama ajira zenye staha kwa vijana wetu 👍
 
Basi kama hivyo hata makaburi yasilindwe..

Au hata wake za Marais waliostaafu wasilindwe...

Unajua maana ya hadhi?Huo mwenge umepewa hadhi...
Huo Mwenge ndio umebeba ushirikina wote wa ccm kushika hatamu.

Inaonekana Jiwe alitaka kuuwondowa kabisa usikimbizwe lakini wale wazee wa kwenye inner cycle wakamuonya fanya yote lakini mwenge usiuguse.

Ule mwenge ndio unatumika kila mwaka kuwapumbaza Watanzania, mimi nashukuru watoto wangu hakuna mwenye interest na ule ushirikina hata ikitokea unalala kwenye kata yetu huwezi kuwaona wakisogea huko.
 
Back
Top Bottom