Nicole
JF-Expert Member
- Sep 7, 2012
- 4,274
- 2,514
hahahahahah maneno meeengi ...kumbe nawe walipaga fadhila lol kweli kila mtu na weakness yake...
Hahaaaaa! Choko mchokoe pweza binadamu mie hutoniweza!!!!!! Yupo lecturer mmoja hivi huko Moro, friend of a friend, Mtu wa Singida huko, huyu alikuwa na kaushamba flani of which i found it kind of sexy!!!! Mtu anakutendea wema mpaka unatamani kumkimbiaaaa!!!!!!!!! Khaaaaaaaaa! Sijaona! Unamnyima yeye anazidisha wema tu! Kila ijumaa yuko Dsm, full kula pesa yake weekend yote bila bila! Basi nikakata shauri nilipe fadhila!
Nikaenda mpaka Moro kwake, kilichoharibu hapo anapoishi kuna Msela wangu jirani kaolewa huko, nikapitia kwanza kumsabahi! Nikamwambia nimekuja kwa flani!!!!! Akaniambia hafai hafai hata kwa mbolea!!!!!!! Anafyeka vitoto vya chuo kwake bila huruma!!!!! Hapo kwake kila siku sura mpyaaaaaaaa! Chezeya halfcast wa kinyaturu na kinyamwezi weye?
Nilipigaje U turn kuwahi Abood la mwisho la saa mbili, msamvu paleee! Kiranga chote kwishaaaaa! Bado pesa zake nakula lakini kufidia risk ya HIV iliyonikosa! Na wala hajali, anajua iko siku!!!!! LOL!