misorgenes
JF-Expert Member
- Oct 7, 2010
- 206
- 50
unajua siku izi nmekua nkiwaza waza kuhusu idea mpya za biashara, sa leo nmejiwa na wazo la mobile saloon. je hii kitu inaweza ikaitajika kwa watanzania wa sasa? and who wil u target "target customer"
unajua siku izi nmekua nkiwaza waza kuhusu idea mpya za biashara, sa leo nmejiwa na wazo la mobile saloon. je hii kitu inaweza ikaitajika kwa watanzania wa sasa? and who wil u target "target customer"
iko na fursa jipange ufanye ...........unajua siku izi nmekua nkiwaza waza kuhusu idea mpya za biashara, sa leo nmejiwa na wazo la mobile saloon. je hii kitu inaweza ikaitajika kwa watanzania wa sasa? and who wil u target "target customer"