NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 12,322
- 10,898
Alivyouona mti akakimbilia kwenye injini kupitia kitundu cha nati iluyofunguka.
Nashangaa vioo yote vivunjike halafu hata kipande kimoja kisionakane barabarani au walifyagia kabla hujapiga picha?
Wanaukumbi.
Huwezi amini mtu aliyekuwa akiendesha gari hili
aliokolewea akiwa hai na bila madhara yoyote.
Amini ukimtegemea MUNGU katika maisha yako
kamwe hakuna tatizo litakalo kuwa kubwa kwako.
Andika "AMEN" kama waamini uwezo wa MUNGU.
![]()
Hizo ni fikra zako hata nikikuwekea link hauwezi kukubali kwa jinsi ulivyonijibu.Hakuna Kutumia Mungu kuhalalisha uongo wako!!!
Hata kama Mungu ni muweza wa kila kitu, lakini bado hajawezesha hilo!
...
Hazugwi mtu hapa!
...
my take: usitumie kivuli cha Mungu!
Weka link!
Hizo ni fikra zako hata nikikuwekea link hauwezi kukubali kwa jinsi ulivyonijibu.