yaani ningempa ngumi za kutosha...
Acha kutetea ujinga hapa.
Nyumba ni yake na bado awekewe masharti!!!
Hili halikubaliki kabisa. House girl hana mamlaka ya kubadili mfumo wa maisha ya nyumbani kwake kwa amri.
Jamaa kasema;
1/Anapenda kula kitimoto nyumbani kwake na familia yake tena kikiwa kumeandaliwa na house girl wake.
2/Anapenda mbwa na anapenda watoto wake wafurahi kucheza na mbwa wake.
3/Anapenda kurudi nyumbani usiku sana na atataka house girl awajibike kumfungulia nyumba na kumpokea.
4/Jamaa hakubali mfumo wa ibada wa swala tano nyumbani kwake.
*Ni jukumu la House girl kukubali mfumo huo wa maisha ya huyo jamaa, na kama hawezi asepe zake.
hawezi kufa ila kipondo muhimu akasimulie kwaoUnavituko ndugu yangu.akikufia mikononi je?
Wacha mchezo aisee. Kashafika Muleba sasa...hiyo ni hadithi ya zamani. Ila sasa imebidi mama aache kazi maana hatuwezi acha watoto kwa jirani. Mashauri yote mliyotoa yamenifurahisha sana, sasa nyie mnaocheka utakuta mna tx mkurya. Tutakutana hapa hapa kwenye forum..hahahaaaa.....mke kadundwa na sufuria ya moto....Acha habari yako wewe! We sema tu kama ushakula uroda basi,kweli baba mwenye nyumba unashindwa kumtimua housegirl?.......................a! Basi bwana mi simo. Masharti unaweka wewe au anaweka huyo tx
Hapo kwenye red, wabongo acheni kuiga!Wajameni nimepatikana kwa pesa mbili. Baada ya kuhangaika kutafuta msichana wa ndani mke wangu aliomba msaada na tukaletewa toka ukweni - kabila sitaji ila la wajeuri. Msichana hard working lakini masharti kibao. No kitimoto ndani ya nyumba, marufuku mbwa kumnusa, so hao nawalishe mwenyewe, pia marufuku kupishana nao, so mpaka wakishafungwa hatoki nje. No disrespect kwa imani za kidini, but msichana swala zote tano na mbaya zaidi, nikichelewa kurudi home - say 1130pm, yeye wala bosi wake (wife) hawashughuliki. Kumtimua gharama za kumsafirisha, offence kwa mke na mama yake. Kumwacha bughudha - sina imani naye especially na watoto - my kids love dogs. Shida sasa, nyumbani panaanza kuwa jela - natamani nirudi late kila siku kuepuka maudhi. Wajameneni - tuseme hayo ni makubwa ya kujitakia. Naombeni ushauri kabla ya kumtimua. Baadaye ntatoa ushauri kwa wazazi wenzangu - kutoka wapi usithubutu kuletewa msichanana wa kazi. Nawasilisha.
Wajameni nimepatikana kwa pesa mbili. Baada ya kuhangaika kutafuta msichana wa ndani mke wangu aliomba msaada na tukaletewa toka ukweni - kabila sitaji ila la wajeuri. Msichana hard working lakini masharti kibao. No kitimoto ndani ya nyumba, marufuku mbwa kumnusa, so hao nawalishe mwenyewe, pia marufuku kupishana nao, so mpaka wakishafungwa hatoki nje. No disrespect kwa imani za kidini, but msichana swala zote tano na mbaya zaidi, nikichelewa kurudi home - say 1130pm, yeye wala bosi wake (wife) hawashughuliki. Kumtimua gharama za kumsafirisha, offence kwa mke na mama yake. Kumwacha bughudha - sina imani naye especially na watoto - my kids love dogs. Shida sasa, nyumbani panaanza kuwa jela - natamani nirudi late kila siku kuepuka maudhi. Wajameneni - tuseme hayo ni makubwa ya kujitakia. Naombeni ushauri kabla ya kumtimua. Baadaye ntatoa ushauri kwa wazazi wenzangu - kutoka wapi usithubutu kuletewa msichanana wa kazi. Nawasilisha.
Wajameni nimepatikana kwa pesa mbili. Baada ya kuhangaika kutafuta msichana wa ndani mke wangu aliomba msaada na tukaletewa toka ukweni - kabila sitaji ila la wajeuri. Msichana hard working lakini masharti kibao. No kitimoto ndani ya nyumba, marufuku mbwa kumnusa, so hao nawalishe mwenyewe, pia marufuku kupishana nao, so mpaka wakishafungwa hatoki nje. No disrespect kwa imani za kidini, but msichana swala zote tano na mbaya zaidi, nikichelewa kurudi home - say 1130pm, yeye wala bosi wake (wife) hawashughuliki. Kumtimua gharama za kumsafirisha, offence kwa mke na mama yake. Kumwacha bughudha - sina imani naye especially na watoto - my kids love dogs. Shida sasa, nyumbani panaanza kuwa jela - natamani nirudi late kila siku kuepuka maudhi. Wajameneni - tuseme hayo ni makubwa ya kujitakia. Naombeni ushauri kabla ya kumtimua. Baadaye ntatoa ushauri kwa wazazi wenzangu - kutoka wapi usithubutu kuletewa msichanana wa kazi. Nawasilisha.
Uwiiiiii Mchumba wangu ni Mrangi! Mbona wastaarabu sana lakini? Usinfanye nimwachehuyo atakuwa mrangi
Uwiiiiii Mchumba wangu ni Mrangi! Mbona wastaarabu sana lakini? Usinfanye nimwache
Mmmh...kabila hili housigelo!!??acha utani bana...
umenena mkuu eti my kids love dogs,kwa hiyo dogs wa maana kuliko huyo dada anayelea watoto wake.wazungu lazima wapende mbwa kwa kuwa hawana undugu,waafrika ni extended family hivyo watoto watawapenda ndugu sio dogsHapo kwenye red, wabongo acheni kuiga!