Hausigali ana masharti wajameni!!!

Hausigali ana masharti wajameni!!!

utajiju and you will keri yuaself kagawa kidude mtaa mzima na kwa ndugu zako pia.
Poor you babu jinga
Unawaonea wivu tu amu jamani, naomba useme unatania la sivyo naona roho inaniambia nimwache
 
Unawaonea wivu tu amu jamani, naomba useme unatania la sivyo naona roho inaniambia nimwache

narudia tena utajiju.
Halafu siwezi kuwaonea hao waliokatwa visimi he he he he yu will keri yuaself
 
wasichana kama hao wanakuwa wasafi sana lakini lazima atakuwa na jini kama sio jini basi ni mchawi..take care hasa kwa watoto
 
Msichana wako wa kazi she is right...,amemature kiakili na anasimamia anavyoviona ni sahihi! Kama imani yake haimruhusu uyafanyayo then u r the problem n deal with it! If firing her will make u happy n respect her morals then that the best thing to do! Wish I get a maid like that! Am proud of her n surely in my eyes I don't see the problem here!
 
unapo amua kuishi na mtu ambae mmetofautiana imani lazima uheshimu imani yake huyo dada anatakiwa aondoke hapo haraka kwani vitu anavyo lazimiswa ni haram kwake na asikubaliani navyo kabisa kwani ni maisha ya dunia akhela ataulizwa swala la kupokewa saa tano usiku sio kazi yake bari ni kazi ya mkewe kipindi hicho anakua amesha lala akiamka kivingine inaweza kumletea mgogoro kati yake na mkewe tafuta mwenye imani kama wewe mtoto wa watu usimuingize kwenye mambo ya kikafili


Huyo ni Hg na aliiukbali kazi huku anajua ni Imani tofauti.. Aondoke na acpange masharti nyumbani kwa maboss zake..
 
House girl atakuwa mfuga majini huyo! Kwanini aogpope kitimoto na Mbwa??! Timua fasta kabla hajaanza kuwaloga.
 
Wajameni nimepatikana kwa pesa mbili. Baada ya kuhangaika kutafuta msichana wa ndani mke wangu aliomba msaada na tukaletewa toka ukweni - kabila sitaji ila la wajeuri. Msichana hard working lakini masharti kibao. No kitimoto ndani ya nyumba, marufuku mbwa kumnusa, so hao nawalishe mwenyewe, pia marufuku kupishana nao, so mpaka wakishafungwa hatoki nje. No disrespect kwa imani za kidini, but msichana swala zote tano na mbaya zaidi, nikichelewa kurudi home - say 1130pm, yeye wala bosi wake (wife) hawashughuliki. Kumtimua gharama za kumsafirisha, offence kwa mke na mama yake. Kumwacha bughudha - sina imani naye especially na watoto - my kids love dogs. Shida sasa, nyumbani panaanza kuwa jela - natamani nirudi late kila siku kuepuka maudhi. Wajameneni - tuseme hayo ni makubwa ya kujitakia. Naombeni ushauri kabla ya kumtimua. Baadaye ntatoa ushauri kwa wazazi wenzangu - kutoka wapi usithubutu kuletewa msichanana wa kazi. Nawasilisha.


Yani uogope gharama uone ni bora uishi kwako kwa karaha? mtimue na tafuta wa imani yako Ili kuepuka karaha..
 
Kashesho & Mafinyofinyo nakubaliana nanyi by 100%. Hisia yangu ya kwanza ilikuwa uchawi (please - haina uhusiano na imani). Mtu mwovu (sihukumu) utamhisi tu, moyo unasitasita. Kwao ndugu walimfukuza. Then kaingia nyumbani two days later kila mtu nyumbani kwangu mgonjwa. Sasa masharti yote hayo na kutopenda kucheza na watoto......hhhmmmmmm......lazima kulikuwa na jambo. Baada ya kumsomea mashtaka na uamuzi anang'ang'ania thru mke wangu kubaki. Haya mambo kwenye familia zetu yapo sana tu, ila wengi hufa kimya kimya, kisha tunakujasikia yalojiri. Nashukuru kwa mchango wenu, huyu nishamkatia ticket. Officially naomba mwenye contacts za hausigali anirushie kwenye inbox tafadhali..
 
utafiti wa nini nawewe nawe? nimekaa nao watano na ni wakaribu sana wachaaaaaaafu balaa
Je wewe ni he au she amu? Nahitaji ushauri mwanana maana karibu nachanganyikiwa
 
Wife aliwahi kukaleta ka hg ka mlengo huo wa ant pork kalipoanza visa nikakatimua faster
 
Hahahaha! hahahaha! pole kaka mrudishe tu kwao ucjali gharama! ucjikalifishe nafsi!
 
Sijawahi kusikia HG wa kizenji.? Watu wapo Dar wanaenda kutafuta mabeki 3 Ruvuma nauli elfu 50.Kwanini wasiende Zenji boti 15000 tu
 
Je wewe ni he au she amu? Nahitaji ushauri mwanana maana karibu nachanganyikiwa

si nlishakuambia nina mabwana 4 OOO nimekumbuka nowdays hata wanaume wanatamani kuwa na k ili maisha yawe mteremko mimi ni she bana habari ndo hiyo teh teh teh
 
Back
Top Bottom