Hausegirl katushika pabaya

Hausegirl katushika pabaya

martins paul

Member
Joined
Apr 17, 2015
Posts
22
Reaction score
12
Wakuu hamjambo,

Nina rafiki tulieshibana kwa muda mrefu sasa, huyu jamaa yupo very successful in life, amejijenga, ana nyumba zaidi ya nne hapa mjini, na miradi chungu nzima

Huyu jamaa amekua na mgogoro mkubwa sana na mkewe kwa muda mrefu sasa tatizo lao kubwa ni kwamba jamaa ana kisukari kikali sana cha kurithi type 1 ambacho kimepelekea kushindwa kabisa tendo la ndoa.

Mwanamke hakuwahi kutoka nje amekua mvumilivu huku akitumia njia za asili kama kujichua na midoli.Haya yote nimeyafahamu kwa kuwa Mimi ndio msiri wao na msuluhishi mkuu wa mgogoro wao.

Mwaka Jana mwanzoni mwanamke alisafiri kikazi mkoani arusha, accidentally nami nilikua huko kwa shughuli za biashara, akaniomba tuonane kwa mazungumzo, nikamfuata hoteli aliyofikia tukaongea mambo mengi kuhusu matatizo yao.

Tukaagana saa mbili usiku wakati naondoka akaniuliza naelekea wapi nikamwambia naenda kupumzika then naenda bendi usiku akasema kwa nn tusiende wote? Nikasema poa.

Usiku tukawa bendi tunaserebuka hadi saa tisa usiku, tukakodi tax ili ianze kumshusha yeye then mimi
cha kushangaza tukiwa njiani siti ya nyuma akanivutia kwake tukaanza kupeana denda katika hali ya ulevi
Taxi ilipofika hotelini kwake akaniambia tushuke twende wote.

Nami nikiwa nimewaka tamaa na uchu wa ngono nikajikuta namfuata hadi chumbani, kufika ndani alionekana na uchu Wa ajabu ambapo aliniparamia na kuanza kunivua nguo kama wale watu wa mieleka.

Asubuhi ilikua ni Jumamosi akaniambia nisishangae kwa yaliyotokea maana yeye ameshindwa kuvumilia umepita mwaka tangu mumewe asimamishe mara ya mwisho na kuwa amejichua amechoka.

Wiki nzima hiyo tulilala pamoja hadi tunarudi Dar, tumeendelea kufanya kwa siri kubwa hadi majuzi nilipoenda kwake asubui ya saa tano, kwanza nilimpigia simu jamaa akaniambia naenda kazini hadi mchana ndio tuonane mjini,

Mwanamke akaniambia niende ana hali mbaya, akamtuma sehemu Housegirl akamwambia hadi ampigie simu ndo arudi.Alipoondoka housegirl nami nikaingia, ambapo alinidaka palepale sebuleni na kusaula na tukaendelea hapo hapo.

Tukiwa katikati kama tulivyozaliwa housegirl akaingia na kutufuma red handed in action kumbe alisahau simu aliyoambiwa aibebe aibu iliyotushika haisemekani.

Akachukua simu akaondoka zake aliporudi shemeji akamweka chini akamwambia asithubutu kumwambia mtu alichokiona akamtisha atamfukuza.

Cha kushangaza binti alikua na ujasiri wa ajabu na kumjibu shemeji kuwa yeye hajali kufukuzwa ila ni lazima aseme la sivyo tumpe million moja ya mtaji akaanze biashara, ndipo atuache huru na ataondoka pale home kinyume na hapo anasema.

Ametoa wiki hivi sasa yeye ndio kageuka bosi ndani, anaagiza aletewe kila kitu huku kakaa na remote sebuleni
Shemeji kasha panic anasema yeye hawezi kumpa kikojozi kama yule million na kwanza anasema ameshachoka na ndoa yenyewe na anataka mtoto kwamba anaelekea 35 hajazaa kutokana na kumvumilia jamaa so bora aondoke tuwe huru.

Nipo njia panda wakuu huyu jamaa ni kama ndugu kwa sasa na sitaki kuharibu uhusiano wangu na yeye ameshanisahidia sana huko nyuma

Nifanye nini? Au nimpe tu hiyo hela housegirl
 
Hahahahaaaaaaaaaa! Housgel kama huyo dawa yake ndogo sanaaa! Lakini wewe siku ukishikwa si utaliwa Kiboga wewe japo mwenye nguvu hana lazima akukodie watu.

Dawa ya beki tatu, we mtokee hakikisha una mbato, na kuna ushahidi wa kutosha wa picha na sms zinazoashiria mahusiano baina yenu. HATA ASEME WAPI, KWA NANI, ATUMIE AMPLIFAYA GANI HAKUNA ATAKAPO AMINIKA AS LONG AS UNA USHAHIDI UMEWAHI KUMPITIA. ITAONEKANA NI WIVU WAKE WA KIMAPENZI ANATUNGA TUNGA TU VITU, NA KUMCHAFUA MKE WA MTU. Ukimmbato credibility yake inaenda negative kabisaaaa.

Ukilogwa umpe hio pesa utatengeneza ushahidi afu kila siku atakuwa anataka hela zaidi. Mpaka sahivi bado kuna reasonable doubt ya kutosha tu. Fanya kama nilivokwambia. Kwanza utafaidi, maana watamu kweli wale kuku wa kienjeji, pili uatatua tatizo lako.

AMA KWELI SHETANI HATOKI MBALI UNAISHI NAE NA KUSHIRIKIANA NAE KILA KITU, AT TIMES NDO MSIRI WAKO!
 
Changamoto za ndoa nazo ni nyingi. Imagine mtu ameoa kabisa na machine iko fit 24/7, then all of a sudden unasimamisha kwa jeki...wtf? Ni lazima uchapiwe hata mkeo awe mjasiri na mvumilivu kiasi gani, ni lazima atachapwa tu.
 
Teeeeeeewh teeeeeeeeh hii ni hataree na naiweka far na walokole...! Mtoe dough mfanyakazi wa home tuu yaishe..!
 
Nazipenda sana story za kugegedana kwa bahati mbaya kilevi kikiwa kinahusishwa yani huwa raha sana, hata juzi kati nilileta kisa cha kuligegeda jimama moja la huko singida watu wakanizonga sana kuwa ninaleta visa vya kutunga tu.......kwanza kula like zangu milioni 1......halafu kingine inabidi huyo hausigelo mumuwahi kumtengenezea zengwe zito kwa jamaa ili hata akipeleka mashtaka yake awe amechelewa, ni hivyo tu
 
Kwanini huyo housegirl asahau simu ??
hilo ndio kosa lake afukuzwe kwa tabia ya kusahau vitu

naunga mkono hoja...kwa nini asahau maelekezo ya boss wake...afukuzwe kazi mara moja huyo!
 
Mkuu msome Galadudu hapo juu kuhusu kutengeneza zengwe ili urafiki ambao ni karibu na "undugu" na huyo rafikiyo uendelee huku ukiendelea kumgegeda mkewe kwa raha zenu.
 
Nipo njia panda wakuu
Huyu jamaa ni kama ndugu kwa sasa
Sitaki kuharibu uhusiano wangu na yeye ameshanisahidia sana huko nyuma
Nifanye nini?

Au nimpe tu hiyo hela Housegirl?

Sio kweli mkuu, naomba ufute hiyo kauli. Kama ni kweli basi ulikua tu unamtamani shemeji yako tangu kitambo.
 
Changamoto za ndoa nazo ni nyingi. Imagine mtu ameoa kabisa na machine iko fit 24/7, then all of a sudden unasimamisha kwa jeki...wtf? Ni lazima uchapiwe hata mkeo awe mjasiri na mvumilivu kiasi gani, ni lazima atachapwa tu.
Tena mimi wa kwangu nikipitisha wiki tunalala kitanda kimoja sijapiga mashine walahi analiwa kilaiiiiniii. Na alivo gangwe yule anaweza hata kunionyeshea.
 
sijui kama jamaa ataku pm maana anataka tatizo la jamaa liendelee kuwepo na yeye aendelee kuzini na mke wa rfk yake

Mkuu msome Galadudu hapo juu kuhusu kutengeneza zengwe ili urafiki ambao ni karibu na "undugu" na huyo rafikiyo uendelee huku ukiendelea kumgegeda mkewe kwa raha zenu.

Mh! hii ni shida sana, haya anakufanyia mtu anayekuita rafiki wa karibu na undugu ambaye anakiri kabisa kwamba anathamini na kutambua mchango wako na msaada wako maishani mwake.

Binafsi kwa kulitambua hilo, nilisha amua tangu kitambo kuweka mbali mazoea ya ukaribu na wake za rafiki zangu na watu nnaoheshimiana nao, ni bora akilalamika simchangamkii kuliko kuniletea fedheha kwa rafiki na jamaa zangu ambao imenichukua muda kujenga uaminifu kwao.

Na tatizo ukishaharibu kurudisha hiyo heshima na kuaminiana kama mwanzo haiwezekani tena hata kama mtasuluhisha yaliyotokea!
 
Back
Top Bottom