hausegirl anatafutwa

hausegirl anatafutwa

cinderelalove

Senior Member
Joined
Feb 23, 2013
Posts
189
Reaction score
39
naishi dar jaman wana JF natafuta msichana wa kunisaidia kazi za nyumban maana nipo busy sana na hakuna wa kubaki nyumban sona mtoto mchanga kabisa...plz nahitaji bint mtulivu na msikivu,kutoka vijijini au alieko hapa mjini lakini anateseka huko aliko nitampokea.asanten.alie tayar kunisaidia ani pm nimpe mawasiliano
 
naishi dar jaman wana JF natafuta msichana wa kunisaidia kazi za nyumban maana nipo busy sana na hakuna wa kubaki nyumban sona mtoto mchanga kabisa...plz nahitaji bint mtulivu na msikivu,kutoka vijijini au alieko hapa mjini lakini anateseka huko aliko nitampokea.asanten.alie tayar kunisaidia ani pm nimpe mawasiliano


wewe ni masichanaa au mvulana umeoa au umeolewa. nahitaji kujua hili then niku pm kwa maelezo zaidi. na je huitaji mvulana??
 
kuna house girl mvulana?

we hujawahi kuwaona ma house girlwa kiume?? tehetehetehetehe

hata hivyo yeye hakusema hauzi girl alisema anatafuta msichana na mimi nikamuuliza ikiwa anahitaji mvulana wapo wengi sana wavulana wanaofanya kazi za nyumbani vizuri kabisa kumsaidia mama shughuli zote kama baba yuko bise sana ni vizuri ukawa na housgirl wa kiume
 
be careful na mahousegirl wasifahamika my dia, ni noma saaana sana, ndo bebi wako wa kwanza nini, najua mambo ya jobz na housegirls wanavyotusaidia lakini mhhh be careful sana
 
Taratibu ndugu yangu,

Tafuta h/girl toka kwenye vyanzo unavyoviamini na ambaye unajua anatoka wapi! Sidhani kama huu ni utafutaji sahihi haswa ukizingatia ni mtu ambaye utakua unamwachia mtoto mdogo asiyeweza hata kujieleza.

Kuwa makini sana kwa hili maana hata unayemfahamu anaweza kumtenda mwanao vibaya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom