Watu
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 3,231
- 1,470
Quote "Ni vyema kabla ya kuanza kushabikia au kufurahia huruma hii ya Dowans tukajiuliza ni kwa nini imekuja hivi sasa? Kwanini baadhi ya viongozi hasa Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Nishati na Madini January Makamba wapo mbele kuaminisha umma kuwa hatuwezi kuwa na umeme wa ukakika bila Dowans" end quote - Salehe Mohamed Tanzania Daima. Feb 27 2011