Hatuwezi kupata rais kama JK

Mods com' on!!!!!!!!! Hii ni haki kweli? Bora FaizaFoxy afunguliwe ila huyu asulubiwe..... Pls Mods!!!!!!!

Hapana huyu mimi nilisema ndiye Faiza Foxy chunguzeni majibu yake. Faiza Foxy mara nyingi majibu yake huwa ni short kama huyu yaani anajionesha
 
mtazamo wangu bora apewe miaka kumi kuongoza nchi tutapata maisha bora kila mtanzania

jane_000, nionavyo mimi umechanganya mambo mawili
1. Miaka 10 ya kuongoza tayari anayo hiyo nafasi na alikwisha kupata kiapo cha mwisho kumalizia hiyo miaka
2. Maisha bora kwa kila mtz - hili kasema hata mzee Nyerere, Mwinyi na Mkapa hawakulifikia walimaliza changamoto zilikuwepo ambazo awamu zilizofuata zilianzia kufanya kazi . Hivyo basi awamu hii nayo haiwezi kumaliza yote imefanyia hayo yaliyowezekana mfano. Kutoa msamaha kwa wale walioweza kurejesha fedha za EPA n.k.
 
Jane bana..............watu wameshadiscuss eti upigwe ban lakini wapi............mwana unatisha

Akili za kitoto kweli kweli, unajibandika ID kumi na kujipongeza. Leo ni tarehe 16 Feb 2012 ndio siku ya kuzaliwa kwako hapa JF. haya ya Jane kuombewa ban umeyajuaje?
 
Akili za kitoto kweli kweli, unajibandika ID kumi na kujipongeza. Leo ni tarehe 16 Feb 2012 ndio siku ya kuzaliwa kwako hapa JF. haya ya Jane kuombewa ban umeyajuaje?

Wewe nawe bumpkin kweli watu tangu 2006 wanaingia kamaguests angalia kwenye utambulisho wa wageni wapya nimejitambulishaje wewe. Kwa taarifa yako wasomaji wengi wa Jf ni guests ukilinganisha na wanachama. Wewe uliyejiunga tarehe 5 January mwaka huu ndo unaona unajua saana. Lione kwanza. tehetehetehetehetehetehetehetehetehetehete
 
Duuu hii kali, kumbe kuna wanaotumia MASABURI katika kutekeleza kila kitu, mweeeeeeee!!!!
 

Usanii mtupu!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…