MAAMUZI MAGUMU
Member
- Sep 13, 2011
- 11
- 5
Ndugu wana JF. Walichokifanya Wazungu ni kutusihi kutambua haki za mashoga ambao tunao. Hatuwezi kulikataa ombi lao kwa kuwa mashoga tunao katika jamii yetu na hakuna jutihada zozote za hata kuwakemea au kuwaelimisha kuacha uchafu wao. Tunawalea wenyewe na vile vile kuna wapuuzi wanaofanya nao mapezi. Tuwaondoe mashoga kwanza ndio tukatae maombi ya wazungu.