mzalendo iq1
JF-Expert Member
- Mar 10, 2020
- 1,258
- 1,541
Habari na poleni na majukumu,
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza kua hatuwezi kurudia makosa ya Mwalimu Nyerere ya kuminya haki ya Watanzania wengi na kufanya maamuzi yake ambayo yanataka kuligharimu taifa.
Wote nina imani tunajua kabisa zilipigwa kura za maoni za kutaka Watanzania wachague mfumo wa uongozi kua wa vyama vingi au la. Watanzania walio wengi babu zetu walijua kabisa kwamba vyama vingi vitatuingiza kwenye matatizo ya kugombea madaraka Waka kataa mfumo wa vyama vingi.
Lakini Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akaamua kupinga mawazo ya walio wengi ambao ndio wenye haki kikatiba akaamua awape wachache kwa mapenz yake ivyo ningependa kama watanzania tutapata chansi tisirudii makosa inabid tusikilize mawazo ya wengi Kwan katiba yetu inasema wengi wapewe Ila tukiendelea kuogopa taswira zetu wenyewe kwenye vioo tumeisha.
Kama kuna anayebisha kua watanzania walio wengi walinyimwa haki yao walioiomba abishe hapo chini ila ukweli utabaki kuwa wazee wetu hawakuwahi kubariki mfumo wa uongozi wa vyama vingi mpaka wamekufa.
Vyama vingi ni mwiba kwa utawala wa Africa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alituongoza vyema sana lakini alifanya kosa kubwa kuamua juu ya maamuzi ya watu.
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza kua hatuwezi kurudia makosa ya Mwalimu Nyerere ya kuminya haki ya Watanzania wengi na kufanya maamuzi yake ambayo yanataka kuligharimu taifa.
Wote nina imani tunajua kabisa zilipigwa kura za maoni za kutaka Watanzania wachague mfumo wa uongozi kua wa vyama vingi au la. Watanzania walio wengi babu zetu walijua kabisa kwamba vyama vingi vitatuingiza kwenye matatizo ya kugombea madaraka Waka kataa mfumo wa vyama vingi.
Lakini Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akaamua kupinga mawazo ya walio wengi ambao ndio wenye haki kikatiba akaamua awape wachache kwa mapenz yake ivyo ningependa kama watanzania tutapata chansi tisirudii makosa inabid tusikilize mawazo ya wengi Kwan katiba yetu inasema wengi wapewe Ila tukiendelea kuogopa taswira zetu wenyewe kwenye vioo tumeisha.
Kama kuna anayebisha kua watanzania walio wengi walinyimwa haki yao walioiomba abishe hapo chini ila ukweli utabaki kuwa wazee wetu hawakuwahi kubariki mfumo wa uongozi wa vyama vingi mpaka wamekufa.
Vyama vingi ni mwiba kwa utawala wa Africa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alituongoza vyema sana lakini alifanya kosa kubwa kuamua juu ya maamuzi ya watu.