Pamoja na umsikini wetu wa kulazimishwa, kutumia kitu chochote umeme wa Dowans ni KUBARIKI UFISADI. Kama serikali haiwezi kwenda kujiagizia mtambo mpya bila UDALALI basi bora watumia umeme tukalipe mara 6 ya thamani ya bili zetu za mara ya mwisho ili mtambo mpya ununuliwe lakini si KULAMBA HAYO MATAPISHI YA ROSTAM NA LOWASSA.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.