Hakuna serikali ya jpm wala ya ccm,serikali iliyotaka na inayoangamiza upinzani na viongozi wao ni ya Tanzania.Kisheria serikali zote duniani hulinda watu wake ila hapa kwetu ni tofauti kabisa.Kwa kifupi hao tumeishawachoka maana tokea tunaanza mfumo wa vyama vingi ndo wagombea. Kwa kifupi Upinzani hakuna Tz kwa sasa labda 2030 napo mkijipanga vizuri. Imagine Tundu Lisu, Lema walikimbia walisema serikali ya JPM inawatishia usalama haya JPM hayupo mbona hawarudi wanapigia kelele huko
Ndiyo maana tunahitaji Katiba mpya kuirudisha serikali mikononi mwa wananchi.