Deus F Mallya
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 705
- 440
Mara kadhaa nimesikia Rais,PM,Mawaziri,na Watendaji wa idara za serikali wakisema "Serikali ipongezwe kwa Juhudi zake za kufanya kitu fulani".
Pia nimekuwa nikisikia baadhi ya Wabunge wakisema "Naipongeza/Tunaipongeza serikali kwa kufanya kitu fulani". Binafasi hapa naingiwa na ukakasi nafsini mwangu, kama tunapaswa kuishukuru Serikali pale inapokusanya kodi kutoka kwetu na kutekeleza miradi flani.
Pia izingatiwe kuwa kodi hiyo hiyo ndiyo wanayolipana posho,mishahara na kuweka mafuta kwenye magari yao ya kifahari.
Ninadhani Serikali inapaswa kuwashukuru wananchi kwa kuendelea kununua bidhaa mbali mbali hata pale kodi inapoongezwa kwa lazima.
Nifungueni hapa.
Pia nimekuwa nikisikia baadhi ya Wabunge wakisema "Naipongeza/Tunaipongeza serikali kwa kufanya kitu fulani". Binafasi hapa naingiwa na ukakasi nafsini mwangu, kama tunapaswa kuishukuru Serikali pale inapokusanya kodi kutoka kwetu na kutekeleza miradi flani.
Pia izingatiwe kuwa kodi hiyo hiyo ndiyo wanayolipana posho,mishahara na kuweka mafuta kwenye magari yao ya kifahari.
Ninadhani Serikali inapaswa kuwashukuru wananchi kwa kuendelea kununua bidhaa mbali mbali hata pale kodi inapoongezwa kwa lazima.
Nifungueni hapa.