Hatunywi maji ndiyo maana tunauguwa

mimi nilikuwa nakunywa maji sana, then nikahisi kama sukari inapungua mwilini, hivyo nakunywa maji kiasi, ila sijaenda hosp.
 
tiba kwa kutumia maji bwana usipoisoma vizuri inaweza kukuuwa kabisa. kwahiyo kama miaka sita nimekuwa nikiisoma tu taratibu nikipitia vikwazo hivi na vile mpaka nikaielewa kabisa. hupaswi kunywa maji mengi, bali nusu ya uzito katika aunsi ugawe mara mfululizo utakaoamua kuufuata kama vle mara nane. mhimu kuzingatia kuwa maji yanabaki walau masaa 2 mpaka 2 na nusu baada ya kuyanywa. mbinu zote nimezieleza kwenye post yangu, kumbuka pia kuepuka vinywaji vyenye kaffeina ambavyo hupelekea maji kukimbia nje ya mwili haraka. tembelea kila mara: maajabuyamaji2.artisteer.net
 
vizuri mkuu, kwanza hongera kwa kunywa maji mengi kiasi hicho!!!, bali hutakiwi uzidishe lita 3 na nusu kwa siku. kumbuka pombe ni kikojoshi (diuretic) huyalazimisha maji kukimbia nje ya mwili kwa haraka, yaani unapokunywa pombe kikombe kimoja, utaenda kukojowa vikombe viwili, kwahiyo unapungukiwa maji mara 2. utaona mwenyewe ukinywa tu maji, haukawii kwenda kukojowa. kitendo hiki cha kukojowa muda mfupi tu baada ya kunywa kimiminika hupelekea madini na vitamini za mhimu kutoka nje ya mwili na kuandaa ngazi ya ugonjwa fulani huko mbeleni. kumbuka; usizidishe lita tatu na nusu kwa siku na pombe ni kikojoshi(diuretic). tembelea: <u>maajabuyamaji2.artisteer.net</u>
<br />
<br />
Mimi hunywa lita 1.5 ya maji asubuhi nikiamka kabla hats sijapiga mswaki. Hunywa taratibu huku nikiendelea na shughuli zingine kama vile kunyosha nguo, kufagia uwanja n.k. Nikienda ofisini huendelea kunywa maji taratibu kiasi cha lita 1.5 tena. Pamoja na ratiba hiyo, haja kubwa huenda mara moja tu kwa siku yaani asubuhi. Hata hivyo, magonjwa yananisumbua sana hasa kichwa. Je, ratiba hiyo inaweza kuwa ndiyo sababu ya kuuguaugua hata magonjwa ya tumbo?
 
<br />
<br />
Mimi hunywa lita 1.5 ya maji asubuhi nikiamka kabla hats sijapiga mswaki. Hunywa taratibu huku nikiendelea na shughuli zingine kama vile kunyosha nguo, kufagia uwanja n.k. Nikienda ofisini huendelea kunywa maji taratibu kiasi cha lita 1.5 tena. Pamoja na ratiba hiyo, haja kubwa huenda mara moja tu kwa siku yaani asubuhi. Hata hivyo, magonjwa yananisumbua sana hasa kichwa. Je, ratiba hiyo inaweza kuwa ndiyo sababu ya kuuguaugua hata magonjwa ya tumbo?

Gosbertgoodluck, hata mimi mara ya kwanza niliposikia kuhusu maji nikakimbilia kunywa lita moja na nusu kwa pamoja mpaka mara nne kwa siku wakati mwingine, nilipata faida chache na kuumwa hakukuniisha. ukifuatilia vizuri na taratibu maelezo ya original post yangu utakuwa umegunduwa wapi unapokosea. kwanza hutakiwi kamwe kunywa lita moja kwa wakati mmoja!, wewe unakunywa lita moja na nusu ni hatari sana. ukinywa hivi utakojoakojoa kila mara na utalazimisha madini na vitamini mhimu kutoka nje ya mwili na kukusababishia magonjwa zaidi.

Muda gani unywe maji:



  • Kitu cha kwanza kufanya mara uamkapo tu, ni kunywa glasi 2 za maji (ml 500) kwakuwa umetumia glasi 2 za maji kwa kulala mpaka asubuhi.
  • Kunywa glasi 1 robo saa au glasi 2 nusu saa kabla ya chakula cha asubuhi, mchana na jioni, kisha hesabu masaa 2 au 2 na nusu kila baada ya chakula cha asubuhi, mchana na jioni bila kunywa wala kula chochote, ndipo unywe glasi 1 ya maji.
  • Kunywa glasi 1 ya maji kila uendapo kulala.
  • Muda wowote uamkapo usiku kwenda bafuni, kunywa nusu glasi ya maji na kipande cha chumvi kisha rudi kulala.
  • Muda wowote unapopatwa na kiu kunywa maji.
Gosbertgoodluck, kumbuka kitu kinaitwa ''chumvi'', kunywa tu maji bila kutumia chumvi ipasavyo kutakupelekea matatizo zaidi kuliko faida. soma maelezo kuhusu chumvi, bonyeza hapa: maajabuyamaji2.artisteer.net/chumvi. unaweza kunitumia sms 0769779533
 
Back
Top Bottom