Hatuna Wanasayansi bali tuna watu wanaosoma sayansi

Mtu anajiita me mwanasayansi alafu ana apply ugunduzi wa Galileo aiseeee.
NASA ndo kuna wanasayansi
 
ukiwa haujasomea hivyo vitu ni halali yako kusema hayo unayoyasema
kwani uongo?mwanasayansi atakuwa bongo bwana!! hata juzi naibu waziri wa afya amewachana maprof ,kuwa inakuwaje wapo tu mbona hata tafiti hawafanyi?!watafanya vipi wakati kila mmoja anategemea teuzi!!!na hiyo yote ni kutokana ni mfumo,uliopo nchini wa kutowathamini na kuwa wezesha nyenzo!!una kuta wadudu wanawasumbua wakulima kwenye mazao hakuna cha wataalam wala nini wa kuwasaidia ,ina bidi watumie njia za asili kutumia jivu??kweli kuwa wana sayansi hapo?hadi ufumbuzi upatikane wa kitaalam tena kwa msaada wa watu wa MERICAN!!wakulima wako hoi
 
kwani uongo?mwanasayansi atakuwa bongo bwana!! hata juzi naibu waziri wa afya amewachana maprof ,kuwa inakuwaje wapo tu mbona hata tafiti hawafanyi?!watafanya vipi wakati kila mmoja anategemea teuzi!!!na hiyo yote ni kutokana ni mfumo,uliopo nchini wa kutowathamini na kuwa wezesha nyenzo!!una kuta wadudu wanawasumbua wakulima kwenye mazao hakuna cha wataalam wala nini wa kuwasaidia ,ina bidi watumie njia za asili kutumia jivu??kweli kuwa wana sayansi hapo?hadi ufumbuzi upatikane wa kitaalam tena kwa msaada wa watu wa MERICAN!!wakulima wako hoi
Uko mbali na sayansi.
 
Hahaha mleta mada hasira za mtungi wako wa hesabu na fizikia umeamua kuzileta huku, sikulaumu kwasababu vijiwe vya kahawa vimekua vingi mno awamu hii
 
Hahaha mleta mada hasira za mtungi wako wa hesabu na fizikia umeamua kuzileta huku, sikulaumu kwasababu vijiwe vya kahawa vimekua vingi mno awamu hii
Umeona ehh
Wanzake wanafanya makuu, yeye kakalia uvivu tu walahi
 
Hahaha mleta mada hasira za mtungi wako wa hesabu na fizikia umeamua kuzileta huku, sikulaumu kwasababu vijiwe vya kahawa vimekua vingi mno awamu hii
Viumbe wenyewe wanasayans ndio hawa hawajui kuandika kwa hoja, izo pumba apoo juu imeabdika nin sasa
 
hakika watu hamjui maana ya sayansi yani nilivyokuelewa ww unataka mtu aitwe mwanasayansi cjui hadi agundue kitu hapana kaka haiko hivyo mtu yeyote asomaye sayansi ni mwanasayansi coz anajua mambo ya kisayansi sasa ukisema hakuna wanasayansi nakukatalia inamaana madaktari,wakandarasi na wanatechnologia wao wanafanya yale yote kutumia nini commerce au arts?
 
Huu uzi naona waliosoma arts wanatoa yao ya moyoni ila wanasahau waliofanya wanaliosoma sayansi waonekane hawana maana ni hao waliosoma arts.

1. Unasema mchango wao huuoni. Huu ni uwongo. Hospitali mnatibiwa na nan, engineers wangap wanajenga bongo,watu wa IT je, tafiti za kiafya Tanzani nan anafanya!?

2. Unasema hawagundui vitu, semeni mnataka wagundue nini cha ziada,hao wazungu wanagundua Nini saizi zaidi ya kuboresha vilivyogunduliwa hapo zamani!?

3. Tofautisheni kati ya kusoma sayansi na uanasayansi, kusoma sayansi kama una akili vizuri utasoma kukupelekea kwenye ndoto zako ila uanasayansi ni kazi kama alivyo daktari au mwalimu.

Punguzeni siasa.
 
Uko mbali na sayansi.
bora iwe hivyo kwa sayansi zenyewe hizi za kibongo?!!ambao hata changamoto ndogo tu zilizopo kwenye jamii hawawezi kuzitatua!!ndio maana kila leo wanakimbilia teuzi tu!!mwanasayansi anakimbilia siasa?yupo tayari kupotosha umma ili kumfurahisha aliyemteua?mwanasayansi an leta data ambazo mwanasheria tu anazikataa kuwa zimepikwa ,na baada ya siku inaonekana ni kweli(case ya makinikia)dunia nzima maprof wa jiologia walipatwa na mshangao kuwa inawezekana je yale makinikia yakawa na mali kiasi kile??basi tz ingekuwa nchi ya kwanza kuwa na dhahabu nyingi duniani!!!yako wapi????!!!!namaliza kwa kusema tena hivi PROF WA KIZUNGU NI TOFAUTI NA PROF WA KIBONGO!!!hutaki kitaaa
 
YaleYale... Watu wa Sayansi hamtakiwi kuwa na mipasho kama hao wa Art, fanyeni kitu kionekane kwa jamii hizo blah blah waachieni kina HKL. Unadhani kina Tesla walikuwa na huu upuuzi wa kujisifu "Physics Oyeeee". Kilichoandikwa na mleta mada ni sahihi kabisa.
Hizo zinaitwa za uso...
 
"Hatuna wanasayansi tuna watu wanaosoma sayansi...hatuna mainjinia ila tuna watu wanaosoma injinia….kama tutafumua mfumo wa elimu kuanzia shule ya msingi itasaidia kubadilisha mfumo wa uchumi…..".Joseph Mtele-UDSM
Ameamini hivo yeye,bali najua tuna wanasayansi wengi na muda si mrefu tutamuona mmoja baada ya mwingine;
 
Wote wanao kariri sayansi ni kugundua ni muda wa kubadilika sasa, izo ni akili za asoyesoma.
 
Back
Top Bottom