Wakati huo tulikuwa na Viongozi tofauti na sasa tuna watawala. Kulikuwa hakuna kiongozi aliyekuwa anatumia hotuba yake yote kuwatisha waliomchagua. Viongozi na Raia hawakuwa na uhusiano kama wa Tommy na Jerry! Watanzania tulikuwa tunapendana. Sujui nani katuvuruga.
Mpaka nashawishika kumwunga mkono yule aliyedai kuwa uongozi wa wakristo ukimwondoa Baba wa Taifa ni kilio na kusaga meno! Mnisamehe kwa kumalizia frustration zangu kwenye uzi huu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.