ki ukweli mimi nimetokea kumpenda dada ,,pja kutoka kwenye mtandao wa fb, na sio siri tunapendana sana kila siku tunaongea na cm kwasababu yko chuo na anatarajia kumaliza mwaka huu kaniambia kuwa akija dar tu anapenda aninone then hata akiwaga na shida yapesa kiasi kadhaa huwa namtuia kwamahitaji yake binafsi sasa najiulia ndoa itakuwa kweli au? maana dini tofauti!
Mwache bana aendelee kumtumia pesaaa
ki ukweli mimi nimetokea kumpenda dada ,,pja kutoka kwenye mtandao wa fb, na sio siri tunapendana sana kila siku tunaongea na cm kwasababu yko chuo na anatarajia kumaliza mwaka huu kaniambia kuwa akija dar tu anapenda aninone then hata akiwaga na shida yapesa kiasi kadhaa huwa namtuia kwamahitaji yake binafsi sasa najiulia ndoa itakuwa kweli au? maana dini tofauti!