hatujaonana lakin tunapendana!

hatujaonana lakin tunapendana!

ki ukweli mimi nimetokea kumpenda dada ,,pja kutoka kwenye mtandao wa fb, na sio siri tunapendana sana kila siku tunaongea na cm kwasababu yko chuo na anatarajia kumaliza mwaka huu kaniambia kuwa akija dar tu anapenda aninone then hata akiwaga na shida yapesa kiasi kadhaa huwa namtuia kwamahitaji yake binafsi sasa najiulia ndoa itakuwa kweli au? maana dini tofauti!

ogopa sana mapenzi ya kwenye mitandao...usiwe mwepesi wa kumuamini mtu, utakuja kutulilia humu humu ooh!!!
 
ki ukweli mimi nimetokea kumpenda dada ,,pja kutoka kwenye mtandao wa fb, na sio siri tunapendana sana kila siku tunaongea na cm kwasababu yko chuo na anatarajia kumaliza mwaka huu kaniambia kuwa akija dar tu anapenda aninone then hata akiwaga na shida yapesa kiasi kadhaa huwa namtuia kwamahitaji yake binafsi sasa najiulia ndoa itakuwa kweli au? maana dini tofauti!


Hii si hoja, mbona tuko wengi mshikaji? Mimi mwenyewe nawapenda Paloma, FirstLady, charminglady japo siwajuwi:A S 39:
 
Last edited by a moderator:
Me nampenda Smile kwakweli japo simfahamu...tuko wengi mkuu ila wewe umepiga hatua zaidi
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom