Hatua zinaendelea kuchukuliwa kuhusu tuhuma na shutuma zilizotolewa

Mie kama mwana Chadema natamani CCM wakutane na Dr Slaa kama campain Manager na mgombea Uraisi awe mtu mwingine asieendekeza makundi kwenye Chama, asiye Mbaguzi na aliye tayari kuitetea katiba ya Chadema na kuilinda.

Mapovu yatawatoka sana mwaka huu. Na bado hadi kieleweke 2015. Dr. Slaa atakapoingia ndani ya IKULU pale magogoni. labda CCM muamue kuiuza IKULU kabla ya 2015. Tutajenga ikulu mpya tu.


MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
Hizi ndiyo zinaitwa akili za nzi, kujisifia kutua na kula kinyesi kiulaini kuliko jongoo !!! Unasubiri nini kujitoa na unatutangazia ili iweje ? Kura yako wewe ina umuhimu gani, to me ni sawa na kura ya Nape au Wassira !!!

Vumbi tu! Mlikuwa wapi muda wote? Matatizo lukuki, nazidi kusisitiza uongozi ni tatizo, kaka angalia nawe usije ukawa mojawapo ya tatizo kwa sababu tayari press yako iko biased kwamba "viongozi wamekashifiwa". Hao wanatakiwa kujibu tuhuma na kila mmoja ana haki kidemokrasia kutaja maonevu, mfano Dr Slaa kuwa na kadi ya CCM ambako mimi siafiki ni kashfa?

Sana sana, kama hamna kitachotamkwa kuhusu kadi mi najitoa CDM na wewe mwenyewe utakosa kura yangu.
 
asante mh.jj mnyika ila naomba niongeze kuwa chadema waunde kamati maalum ya kuwahoji hawa watu ili kuepuka bias mfano mtu kama juliana shonza ameruhusha tuhuma nyingi sana Dhidi ya Dr.slaa kwa hiyo hawa masalia waitwe na viongozi pia waliohusishwa mmoja kwa mmoja na hizi tuhuma wahojiwe na mrelease ripoti haraka naamini haya ndio yatakuwa maamuzi magumu kuliko yote yaliyowahi kutolewa na kamati kuu ya chama.
 
Safari njema mamluki wa magamba. CHADEMA hata siku moja haiwezi kuwakumbatia wanachama wanafiki kama wewe ambao badala ya kutafuta njia muafaka zilizowekwa na CDM katika kuzungumzia na kuyatatua matatizo mbali mbali ndani ya chama wanaamua kutumia njia za kubomoa katika kufanya hivyo. Kila la heri na usisahau kurudisha kadi ya CHADEMA mara tu utakapoamua rasmi kujiengua kama mwanachama.

This what am talking about.Kila kitu kina taratibu zake.Ukikurupuka unaonekana kilaza tu!
 
Mtachapana wenyewe.Dhambi ile ile ya kujipachika falsafa ya nguvu ya umma bila kujua madhara yake ndiyo itakayotumika kubomoana wenyewe kwa wenyewe.

unamaana ccm wanaelewa maana ya kujivua gamba?
 
Vumbi tu! Mlikuwa wapi muda wote? Matatizo lukuki, nazidi kusisitiza uongozi ni tatizo, kaka angalia nawe usije ukawa mojawapo ya tatizo kwa sababu tayari press yako iko biased kwamba "viongozi wamekashifiwa". Hao wanatakiwa kujibu tuhuma na kila mmoja ana haki kidemokrasia kutaja maonevu, mfano Dr Slaa kuwa na kadi ya CCM ambako mimi siafiki ni kashfa?

Sana sana, kama hamna kitachotamkwa kuhusu kadi mi najitoa CDM na wewe mwenyewe utakosa kura yangu.


Samahani bro unaelimu gani vile? Read between lines hicho alichosema Mnyika utapata majibu ya kila kitu hadi kakuwekea kanuni za chama we bado tu hujaelewa?
 
Mhe. Mnyika wewe ni jembe. Napenda sana unavyojenga hoja na majibu makini. Mungu akutangulie, utafika mbali!
Nakuunga mkono kuhusu ujembe wa JJ Mnyika, ila hili la kufika mbali, unataka afike wapi ili hali hapo alipo tayari yuko mbali!, au unamaani ndio wele wale waendelee kupokezana vijiti?!.
 
Safi sana Kamanda sasa nazidi kuamini kuwa ukombozi wa Tanzania uko karibu kwani mmeweza kubaini hawa mamaluki mapema. Sasa hakikishaeni hiyo kansa inatibiwa bila kumuangalia nyani usoni. XMASS njema na MWAKA MPYA 2013 wenye mafanikio kwa Chama cha Ukombozi.
 
Yani baba wa mji kweli wamtoe kwenye kikao wakati kwanza hata yeye hapo alipo yanagonga kwa sababu anajua kuna kitu kinaita from somewhere?!,nakwambia hakuna mwenye uwezo CHADEMA wa kumuambia huyo jamaa akae pembeni ajadiliwe,na wakifanya hivyo ujue kimenuka wewe unadhani ni kwa nini ana kadi mbili zenye uhai uliotukuka???!!!chezea mbigiri wewe!!!!!!!!!

oooh...kumbe kadi ya ccm ameiweka readyhanded ili cdm wakimzengua anaondoka.
Kwahiyo anafanya mambo ndivo sivo akijua anawablacmail cdm kwamba wakileta manyokanyoka anatimua.
Basi sawa.
 
Nakuunga mkono kuhusu ujembe wa JJ Mnyika, ila hili la kufika mbali, unataka afike wapi ili hali hapo alipo tayari yuko mbali!, au unamaani ndio wele wale waendelee kupokezana vijiti?!.


Mkuu tuandae mdaharo kati ya Lowasa na Dr. Slaa
 
majibu mazuri' tunaaini hakuna mtu atakayeonewa,kila mmoja atapiwa kulingana na kipimo chake!
 
Ni hotuba ndefu na nimeshindwa isoma kutokana na ubize lakini ningeomba haya mambo yafanywe haraka waliowabaya waweze kufahamika ndani ya chama na sio kuendelea kukichafua chama
 
wapi ben mwana wa sanane napenda ni mshauri kuwa ajiandae na ushahidi wa kutosha huku akiwa makini kwani anapambana na kundi la watu na sio mtu mmoja kwa hiyo ushahidi wote peleka huko zile ulizosema unaficha kwa ajili ya kukinusuru chama sasa nafikiri itakuwa mahali pake pa kuwamwaga.
 
Dr.Slaa sioni kosa lake hata kama bado hajarudisha kadi ya CCM ...Kwani ni kiongozi gania wa juu wa vyama vya upinzania amewahi kurudisha kadi?Hii ni kwa sababu mwanzoni walipotoka CCM hakukuwa na utamaduni huo wa kurudisha kadi,pili kadi ni mali ya mwanachama(kwa sababu ameilipi) hivyo anaweza kuiweka chumbani kama kumbukumbu ya Marehemu.
 
Avanti, asante kwa maoni yako hata hivyo zingatia kuwa 'press' yangu ipi? Ikiwa wewe kweli ni mwanachama wa CHADEMA na una malalamiko dhidi ya kadi ya Dr Slaa andika rasmi kwa chama. Kabla ya kuandika malalamiko hayo usome kwanza katiba ya CHADEMA, katiba ya CCM na sheria ya vyama vya siasa. Dr Slaa ameshasema wazi kwamba yeye si mwanachama wa CCM, ni mwanachama wa CHADEMA toka alipohama CCM. Mwanachama akihama chama kimoja tayari anapoteza uanachama wake wa chama cha awali, hii ni kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa, katiba za vyama vya siasa na pia hukumu ya mahakama ambayo imewahi kutolewa kuhusu suala la kadi. Ukishazingatia hayo na bado ukaendeleza suala hilo na ikiwa kwenye ni mwanachama utakuwa umeingia kwenye mtego wa kipuuzi wa CCM.

JJ



THE BIGSHOW IS HERE,,
NGOJA NIWACHEKE WAUA TEMBO NA WAABUDU MATUNGURI KIDOGO :laugh:

THANK YOU KAMANDA MNYIKA,,KATIKA KUONGEZEA,NAOMBA MSIMEZE MEZE MANENO NA KUONEANA HAYA

HUYU BWANA HAPA CHINI ASHUGHULIKIWE IPASAVYO



 
Back
Top Bottom