Habari Wadau wa jukwaa la ujasiriamali.
Nina shamba la hekari 20 nataka kulilima kwa kilimo cha umwagiliaji ambao tayari nimeshachimba kisima. Sasa natafuta pampu nzuri yenye ubora mzuri wa kufanya kazi. Nitashukuru mkinisaidia aina tofauti, uwezo wa kazi, na makadirio ya bei.
Nategemea kufanya umwagiliaji wa kumwaga maji kwenye mifereji kwa sasa kabla sijajaribu kuweka tenki na mabomba.
Nawashukuru sana
Update...
Baada ya kuwa na shamba na kijipamp changu na kufanya utafiti kipindi cha kulima zao nilitamanilo sana la kitunguu nikaamua ni test na ekari 3 hivi kwa zao la nyanya.
Kiukweli zao hili lina changamoto kubwa sana hasa kipindi hiki cha mvua. Dawa zitumikazo ni nyingi sana sana kiasi kwamba kwa mahesabu hadi ya leo siku ya 93 imeshakata 4.7M.
Nasoma ' think and grow rich cha napoleon Hill napata nguvu na faraja hasa katika charter ya desire na faith'... na kutokana na ukweli kwamba kwasasa nyanya iko juu sokoni... jana kariakoo ilikuwa juu ya 50000 kwa box hope I will make the dream in to reality..
Pamp hii inajitahidi. .. nimeifanyia service mara moja tu hadi sasa kwa shilingi 19000 pamoja na pesa ya fundi na usafiri. Ila nimegundua inafanya kazi kubwa sana kwani inanyonya maji kutoka kisimani ambapo ni mbali sana kama 13m hivi steep slope.. hii inasababisha kutumia nguvu nyingi hivyo mafuta pia. Nawaza mbinu ya kuiwekea kitanda ili kuisaidia kidogo. Huwa inatumia litre 15 hadi 20 kumwagilia hekari tatu vizuri.. kumbuka natumia umwagiliaji wa mifereji kwahiyo kuna upotevu mkubwa sana wa maji. Nawaza kufanya utaalamu zaidi baadae wa drip pesa ikifikia.
Nina shamba la hekari 20 nataka kulilima kwa kilimo cha umwagiliaji ambao tayari nimeshachimba kisima. Sasa natafuta pampu nzuri yenye ubora mzuri wa kufanya kazi. Nitashukuru mkinisaidia aina tofauti, uwezo wa kazi, na makadirio ya bei.
Nategemea kufanya umwagiliaji wa kumwaga maji kwenye mifereji kwa sasa kabla sijajaribu kuweka tenki na mabomba.
Nawashukuru sana
Update...
Baada ya kuwa na shamba na kijipamp changu na kufanya utafiti kipindi cha kulima zao nilitamanilo sana la kitunguu nikaamua ni test na ekari 3 hivi kwa zao la nyanya.
Kiukweli zao hili lina changamoto kubwa sana hasa kipindi hiki cha mvua. Dawa zitumikazo ni nyingi sana sana kiasi kwamba kwa mahesabu hadi ya leo siku ya 93 imeshakata 4.7M.
Nasoma ' think and grow rich cha napoleon Hill napata nguvu na faraja hasa katika charter ya desire na faith'... na kutokana na ukweli kwamba kwasasa nyanya iko juu sokoni... jana kariakoo ilikuwa juu ya 50000 kwa box hope I will make the dream in to reality..
Pamp hii inajitahidi. .. nimeifanyia service mara moja tu hadi sasa kwa shilingi 19000 pamoja na pesa ya fundi na usafiri. Ila nimegundua inafanya kazi kubwa sana kwani inanyonya maji kutoka kisimani ambapo ni mbali sana kama 13m hivi steep slope.. hii inasababisha kutumia nguvu nyingi hivyo mafuta pia. Nawaza mbinu ya kuiwekea kitanda ili kuisaidia kidogo. Huwa inatumia litre 15 hadi 20 kumwagilia hekari tatu vizuri.. kumbuka natumia umwagiliaji wa mifereji kwahiyo kuna upotevu mkubwa sana wa maji. Nawaza kufanya utaalamu zaidi baadae wa drip pesa ikifikia.