Hatua sita za uumbaji

Noted n appreciated for a constructive challenge
 
.
 
mtu anataka udhibitisho wa Mungu kuwepo na shetani kuwepo , aje huku kariakooo na theory zake kichwa kichwa afanye biashara kavu kavu ndo atadhibitisha Mungu na shetani wapo au hawapo ila utoto nao mzuri sna wakati mwingne.
 
namba tatu umesema huna uhakika hizo siku kama ndio hizi.nadhani tungejikita kwenye ''IKAWA USIKU IKAWA MCHANA SIKU YA....IKAISHA.maana yake siku ni usiku na mchana
iv mnafahamu maandiko ya dini yameishi miaka mingi sna na kadri yanavyozidi kutasfiriwa yanakuwa na utofauti kulingna na mazingira na jamiii lengwa ?
 
mtu anataka udhibitisho wa Mungu kuwepo na shetani kuwepo , aje huku kariakooo na theory zake kichwa kichwa afanye biashara kavu kavu ndo atadhibitisha Mungu na shetani wapo au hawapo ila utoto nao mzuri sna wakati mwingne.
ila utoto nao mzuri sna wakati mwingne.[emoji3]
 
Sisi binaadamu tunahisabu siku kutokana na usiku na mchana na nilazima kuwepo jua na dunia,wakati mungu anaumba hivyo vitu havikuwepo je ni siku gn Mungu alizo tumia kuumba hivyo vitu?
2 Pet 3:8

Lakini, wapenzi, msilisahau neno hili, kwamba kwa Bwana siku moja ni kama miaka elfu, na miaka elfu ni kama siku moja.
 
2 Pet 3:8

Lakini, wapenzi, msilisahau neno hili, kwamba kwa Bwana siku moja ni kama miaka elfu, na miaka elfu ni kama siku moja.
[emoji1545][emoji818][emoji817]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…