Hatua sita za uumbaji

....zijapopita siku za furaha tusihuzunike bali tufurahi kwakuwa zilikuwepo na zitarudi tena...hakuna kidumucho milele iwe furaha ama huzuni kushuka au kupanda, kukwama au kufanikiwa. ...
Hii ni halisia kabisa yaani ya maisha ya mwanadamu katika mwili wa damu na nyama
 
Na akaongezea kuwa "Baba yangu anafanya kazi hata sasa"
 
It was timeless by then
Kwa habari ya kiroho, usiku na mchana ni habari ingine tofsuti sana na hivi tunavyo hesabu masaa, umemjibu vema, it was timeless. Maana alipoiumba nuru, akaitenganisha na giza kisha akaiita nuru mchana na giza usiku. Tangu hapo ikawa ikawa jioni ikawa asubuhi siku moja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…