Hatua sita za uumbaji

Hebu nijibu kwanza maana tukienda kwa muktadha wa kuulizana maswali bila majibu haitatusaidia sisi na wasomaji
Kwa wanyama naweza kusema YES,wanafanya ngono since wanakutana jike na Duke,japo ujawa specified ni wanyama gani sababu even human is a animal..

Labda tofauti iwe kwenye lugha
 
Hahahahahaa
 
Kwa wanyama naweza kusema YES,wanafanya ngono since wanakutana jike na Duke,japo ujawa specified ni wanyama gani sababu even human is a animal..

Labda tofauti iwe kwenye lugha
Inawesekana kabisa kuna kitu huelewi ni hisia zangu tu lakini
 
Kwa wanyama naweza kusema YES,wanafanya ngono since wanakutana jike na Duke,japo ujawa specified ni wanyama gani sababu even human is a animal..

Labda tofauti iwe kwenye lugha
Tunajadili kwa muktadha wa kiimani sio kisayansi kwahiyo dhana ya kumuweka binadamu kwenye kundi la wanyama inakuwa ni void
 
mkuu Jr kuna nyimbo moja nilisikia jamaa alisema in the beginning the world was garden ila hata ukiangalia sasa sio garden tena.
 
mkuu Jr kuna nyimbo moja nilisikia jamaa alisema in the beginning the world was garden ila hata ukiangalia sasa sio garden tena.
 
kuweza wanaweza ila itakuwa sio kama ile ya sir Almighty kwa maana hiyo hawa jamaa watafanya Ku isolate kutoka kwenye originally ndio maana mpaka Leo bado wapo kwenye laboratory wana fanya uchungu wa vinasaba au DNA,ila kwenye mambo ya modified from natural wanaweza kimtindo
 
sir mshana Jr bigup brother
 
[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji817] [emoji817] [emoji115] [emoji115]
 
....zijapopita siku za furaha tusihuzunike bali tufurahi kwakuwa zilikuwepo na zitarudi tena...hakuna kidumucho milele iwe furaha ama huzuni kushuka au kupanda, kukwama au kufanikiwa. ...
Shukran mkuu kwa neno hili limenitia sana nguvu asubuhi ya leo ninapopita ktk kipindi kigumu sana.nayakumbuka maneno mengine ambayo huwa unapenda kuyatumia"wakati sio Milele"ubarikiwe.
 
Shukran mkuu kwa neno hili limenitia sana nguvu asubuhi ya leo ninapopita ktk kipindi kigumu sana.nayakumbuka maneno mengine ambayo huwa unapenda kuyatumia"wakati sio Milele"ubarikiwe.
[emoji115] [emoji115] [emoji817] [emoji106] [emoji120]

Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
 
ANALOGY OF THE WATCH-MAKER!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…