Hatua sita za uumbaji

Ww mshana kama mambo ya kichawi haugoogle ina maana wewe ni mchawi hadi unaujua uchawi vile?
Sasa huko gugo ndugu yangu kama yanapatikana si ningeshawekewa link za kuumbuliwa hapa? Kwa watu wako busy kutafuta hilo ujue
 
Biblia inasema kwa mungu miaka 1000 ni sawa siku moja na siku 1 ni sawa na miaka 1000.

Na kwanini ww mshana usiseme mungu aliuumba ulimwengu kwa miaka 6000 na miaka 1000 akapumnzika?
Swali lako la pili limajibiwa na la kwanza
 
Biblia inasema kwa mungu miaka 1000 ni sawa siku moja na siku 1 ni sawa na miaka 1000.

Na kwanini ww mshana usiseme mungu aliuumba ulimwengu kwa miaka 6000 na miaka 1000 akapumnzika?
Ngoja nisubiri jibu
 
[emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji15] [emoji22]
 
[emoji15] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji15] [emoji22]
Kaka, naomba unipe ufafanuzi na nijue kwa undani ni aina gani la tunda lililoongelewa mwanzo, ambalo liliwafanya adamu na eva kuanguka dhambini.
 
Kaka, naomba unipe ufafanuzi na nijue kwa undani ni aina gani la tunda lililoongelewa mwanzo, ambalo liliwafanya adamu na eva kuanguka dhambini.
Kimsingi ni ngono lakini kuna mitazamo mingi sana ndio maana hata kanisa la leo dhambi ya kutubu rasmi ni kuzaa nje ya ndoa
 
Kimsingi ni ngono lakini kuna mitazamo mingi sana ndio maana hata kanisa la leo dhambi ya kutubu rasmi ni kuzaa nje ya ndoa
Lakini maandiko yanasema kuwa hawa aliporubuniwa na nyoka akala hilo tunda then akampelekea mumewe nae akala, hapa vipi hapa kama hilo tunda ni ngono?
 
Lakini maandiko yanasema kuwa hawa aliporubuniwa na nyoka akala hilo tunda then akampelekea mumewe nae akala, hapa vipi hapa kama hilo tunda ni ngono?
Alido kwanza na shetani(kubikiriwa?)kisha akampelekea mshikaji ndio maana inasemekana cain/kaini sio mtoto wa Adam
 
Hivi mwenyezi mungu mwenye uwezo wa kuumba kitu kwakusema "KUA NA KINAKUA" anaweza kufanya kazi na kuchoka mpaka kufikia hatua ya kuamua kupumzika kwa uchovu?

Quran 46:33
Je! Hawaoni ya kwamba Mwenyezi Mungu, aliye ziumba mbingu na ardhi, na hakuchoka kwa kuziumba, kuwa ni Muweza wa kuwafufua wafu? Kwani? Hakika Yeye ni Muweza wa kila kitu.
 
Jitahidi usipingane na imani Za wengine ila uziheshimu
 
Kimsingi ni ngono lakini kuna mitazamo mingi sana ndio maana hata kanisa la leo dhambi ya kutubu rasmi ni kuzaa nje ya ndoa
Sasa kama ni ngono alikua na maana gani?kuwaambia enendeni mkazaliane muijaze nchi?
 
Teh teh teh! Hua nikitazama mambo wanayofanya wanadamu mpaka napataga ukakasi wa kusema MUNGU kawaumba,maana watu ni wanamatendo ya ajabu etii..ah acheni tu,binadamu?! ni hatari
 
Teh teh teh! Hua nikitazama mambo wanayofanya wanadamu mpaka napataga ukakasi wa kusema MUNGU kawaumba,maana watu ni wanamatendo ya ajabu etii..ah acheni tu,binadamu?! ni hatari
Sidhani kama hiki ndio kile kizazi cha Mungu tunayemfahamu na kuhubiriwa sana! Kiuhalisia hiki ni kizazi kingine kabisa
Kizazi cha elimu dunia na maisha ya pesa na vitu ! Ndio maana kufuru haiishi ya kumkana Mungu ! Bahati mbaya sana wanafanya hivi wakiwa bukheri wa afya huko mjini kwenye mataa na mwendokasi, natamani siku moja niwachukue ziara niwalete huku niliko usiku huu (search location utajua )
 
Wanyama wanazaana na kuongezeka je ile ni ngono?
Nazungumzia adamu kula tunda la katikati,ni kwamba walifanya ngono?au anaposema tunda la mti wa mema na mabaya alikua na maana gani?
 
Nazungumzia adamu kula tunda la katikati,ni kwamba walifanya ngono?au anaposema tunda la mti wa mema na mabaya alikua na maana gani?
Hebu nijibu kwanza maana tukienda kwa muktadha wa kuulizana maswali bila majibu haitatusaidia sisi na wasomaji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…