Mpenda-Mabadiliko
Member
- Nov 25, 2013
- 48
- 11
LENGEJU BOB kama wapenda mabadiliko wote tungekuwa kama wewe basi mgogoro huu ungeonekana mdogo sana. Binafsi nimefurahishwa sana na makala hii. ni matumaini yangu kuwa wahusika watahusoma na kuhufanyia kazi.
Last edited by a moderator: