Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,961
Ninawasalimia wana JF wote.
Natumaini ni waziwa wa afya njema. Leo napenda kuanza na somo hili la kuanza hatua kwa hatua kufikia Enlightenment. Nina maanisha kuwa kuweza kufanya meditation na kufikia hatuwa ya kuwa aware. Bila kupoteza mda nitaanza kuelezea kitu kimoja kwa utangulizi.
UTANGULIZI
Asili yetu ni roho zetu, tumekuja kuingia kwenye mwili huu tulionao kwaajili ya kuweza kuishi hapa duniani. Na asili yetu ni universe ambayo ni halisi sio illusion. Basi tunapo zaliwa hapa duniani tunaanza kuwa attached na mambo mengi sana kwa kupitia milango yetu ya fahamu. Kila sekunde inayoupita tunapiga picha na kuweka kwenye database yetu ya akili zetu.
Kadri siku zinavyozidi kwenda tunatengenza ulimwengu ndani ya akili zetu. Ulimwengu huo ninaweza nikauita virtual World. Ni ulimwengu ambao umejengwa kutokana na picha mbali mbali zilizoingizwa kupitia milango ya fahamu.
Wazazi wanapo mzaa mtoto wanaanza kumjenga na kumpa picha tofauti tofauti na huyo mtoto kuwa attached na mazingira ya wazazi. Kadri ya wazazi wanavyotaka watamjenga mtoto wao awe hivyo. Basi ulimwengu huu ambao umejengwa kwenye akili uanawafanya watu wawe hawana furaha, kuchukiana, kupenda utawala, kupenda pesa, kuwa wadini na mambo mengine ya fananayo na hayo.
Mara baada ya mtu kufa tu. Ulimwengu alioujenga unapotea unakuwa haupo maana upo kwenye akili zake tu. Anakutana na uhalisia ulimwengu ambao ni halisi.
Sasa ni vyema kuanza kuondoa ulimwengu huu ndani ya akili zetu na kuweza kuufaidisha ulimwengu kwa kutupa huu mwili na akili ili kukamilisha safali yetu ya hapa duniani. Tukijiunganisha na uhalisia (Universe) na kujua kuwa sisi ni nani hakika tutafanya dunia kuwa sehemu nzuri sana.
1. HATUA YA KWANZA (KUONDOA NA KUANZA KUFUTA ULIMWENGU ULIO KWENYE AKILI)
Ili uweze kufanya meditation vizuri mimi nadhani hii hatua ndio ya kwanza kabisa. Sasa nitaelekeza namna ya kufanya.
a. Kaa sehemu tulivu kwa mda wa kama dakika kumi huku umefumba macho. Anza kujiuliza maswali ndani ya moyo wako (Mimi ni kitu gani, Mimi ni nani, Kwanini nipo duniani, je nimetoka wapi)
b. Baada ya dakika hizo kumi napendekeza hatua ifuatayo inaweza ikakusaidia sana.
i. Fumbua macho anza kutafakari Maisha yako (miaka 0 - 10) kisha (11 - 20) (21 -30) nakuendelea. Fanya mwaka kwa mwaka. (hii inaweza kuchuka kama lisa limoja au zaidi)
ii. Anza kutafakari kuhusu uhusiano kutoka utototni hadi leo(Wazazi, Dini, Shuleni, wapenzi nk)
Tengeneza jedwari lenye namba kuanzia 1 mpaka 50. Kila ukimaliza mzunguko wa kuanzia ulipo zaliwa mpaka sasa zungusha kwenye namba moja wapo mpaka utakapo zimaliza zote hizo hamsini. Kwa wastani unaweza kuchuka masaa 90-100 kwa hatua hii.
Hii hatua ni maandalizi ya kuandaa akili ili iweze kuanza kuziondoa picha zilizopo ndani yake.
Ninapendekeza kuwa ni vyema wakati unatafakari hivyo kuwa umefumbua macho.
Ngoja naomba niishie hapo. Kwa wale ambao watakuwa wapo tayari watakuja walete mlejesho baada ya hatua hiyo ya kwanza na ndipo nitaanzisha hatua nyingine mpaka tutakapo fika enlightenment.
Ahsante karibuni mwenye swali aniulize.
@aretasludovick
Natumaini ni waziwa wa afya njema. Leo napenda kuanza na somo hili la kuanza hatua kwa hatua kufikia Enlightenment. Nina maanisha kuwa kuweza kufanya meditation na kufikia hatuwa ya kuwa aware. Bila kupoteza mda nitaanza kuelezea kitu kimoja kwa utangulizi.
UTANGULIZI
Asili yetu ni roho zetu, tumekuja kuingia kwenye mwili huu tulionao kwaajili ya kuweza kuishi hapa duniani. Na asili yetu ni universe ambayo ni halisi sio illusion. Basi tunapo zaliwa hapa duniani tunaanza kuwa attached na mambo mengi sana kwa kupitia milango yetu ya fahamu. Kila sekunde inayoupita tunapiga picha na kuweka kwenye database yetu ya akili zetu.
Kadri siku zinavyozidi kwenda tunatengenza ulimwengu ndani ya akili zetu. Ulimwengu huo ninaweza nikauita virtual World. Ni ulimwengu ambao umejengwa kutokana na picha mbali mbali zilizoingizwa kupitia milango ya fahamu.
Wazazi wanapo mzaa mtoto wanaanza kumjenga na kumpa picha tofauti tofauti na huyo mtoto kuwa attached na mazingira ya wazazi. Kadri ya wazazi wanavyotaka watamjenga mtoto wao awe hivyo. Basi ulimwengu huu ambao umejengwa kwenye akili uanawafanya watu wawe hawana furaha, kuchukiana, kupenda utawala, kupenda pesa, kuwa wadini na mambo mengine ya fananayo na hayo.
Mara baada ya mtu kufa tu. Ulimwengu alioujenga unapotea unakuwa haupo maana upo kwenye akili zake tu. Anakutana na uhalisia ulimwengu ambao ni halisi.
Sasa ni vyema kuanza kuondoa ulimwengu huu ndani ya akili zetu na kuweza kuufaidisha ulimwengu kwa kutupa huu mwili na akili ili kukamilisha safali yetu ya hapa duniani. Tukijiunganisha na uhalisia (Universe) na kujua kuwa sisi ni nani hakika tutafanya dunia kuwa sehemu nzuri sana.
1. HATUA YA KWANZA (KUONDOA NA KUANZA KUFUTA ULIMWENGU ULIO KWENYE AKILI)
Ili uweze kufanya meditation vizuri mimi nadhani hii hatua ndio ya kwanza kabisa. Sasa nitaelekeza namna ya kufanya.
a. Kaa sehemu tulivu kwa mda wa kama dakika kumi huku umefumba macho. Anza kujiuliza maswali ndani ya moyo wako (Mimi ni kitu gani, Mimi ni nani, Kwanini nipo duniani, je nimetoka wapi)
b. Baada ya dakika hizo kumi napendekeza hatua ifuatayo inaweza ikakusaidia sana.
i. Fumbua macho anza kutafakari Maisha yako (miaka 0 - 10) kisha (11 - 20) (21 -30) nakuendelea. Fanya mwaka kwa mwaka. (hii inaweza kuchuka kama lisa limoja au zaidi)
ii. Anza kutafakari kuhusu uhusiano kutoka utototni hadi leo(Wazazi, Dini, Shuleni, wapenzi nk)
Tengeneza jedwari lenye namba kuanzia 1 mpaka 50. Kila ukimaliza mzunguko wa kuanzia ulipo zaliwa mpaka sasa zungusha kwenye namba moja wapo mpaka utakapo zimaliza zote hizo hamsini. Kwa wastani unaweza kuchuka masaa 90-100 kwa hatua hii.
Hii hatua ni maandalizi ya kuandaa akili ili iweze kuanza kuziondoa picha zilizopo ndani yake.
Ninapendekeza kuwa ni vyema wakati unatafakari hivyo kuwa umefumbua macho.
Ngoja naomba niishie hapo. Kwa wale ambao watakuwa wapo tayari watakuja walete mlejesho baada ya hatua hiyo ya kwanza na ndipo nitaanzisha hatua nyingine mpaka tutakapo fika enlightenment.
Ahsante karibuni mwenye swali aniulize.
@aretasludovick