Hatma ya wafanyakazi wa Pride Tanzania ni nini!!?

masubo tapta

Member
May 17, 2014
7
5
Ni takribani miaka miwili sasa na ushehe tangia shirika la pride Tanzania kusitisha huduma zake za mikopo kwa kilichoelezwa awali kufirisika lakini chanzo kikubwa kikiwa ubadhirifu wa fedha uliofanywa na aliyekuwa mkurugenzi wa wake ndugu Malima ambaye mpaka sasa anatafutwa.
Shirika lina wafanyakazi wasiopungua 700 wakiwa njia panda wasijue nini kinachoendelea kuhusu ajira zao mishahara na stahiki nyingine huku tegemeo lao kubwa likiwa serikali ambayo ilisemekana imelitwaa tena shirika hilo kisheria,ikimbukwe pride ilitolewa serikalini kiujanja ujanja na watu ambao hawajawekwa wazi mpaka sasa.
Wafanyakazi hao wanaiomba serikali kutoa tamko kwa umma kuhusu hatma yao kwani kila kitu kimesimama kwa sasa hata wakiwasiliana na makao makuu yao wanambiwa wasubiri tamko la serikali.
IMG_20190430_114109_329.jpeg
 
Wakurugenzi wamekula kona wamewachia manyoya Dah
Top boss kakimbilia kwa trump mpk leo jiiii

Ova
 
Ni takribani miaka miwili sasa na ushehe tangia shirika la pride Tanzania kusitisha huduma zake za mikopo kwa kilichoelezwa awali kufirisika lakini chanzo kikubwa kikiwa ubadhirifu wa fedha uliofanywa na aliyekuwa mkurugenzi wa wake ndugu Malima ambaye mpaka sasa anatafutwa.
Shirika lina wafanyakazi wasiopungua 700 wakiwa njia panda wasijue nini kinachoendelea kuhusu ajira zao mishahara na stahiki nyingine huku tegemeo lao kubwa likiwa serikali ambayo ilisemekana imelitwaa tena shirika hilo kisheria,ikimbukwe pride ilitolewa serikalini kiujanja ujanja na watu ambao hawajawekwa wazi mpaka sasa.
Wafanyakazi hao wanaiomba serikali kutoa tamko kwa umma kuhusu hatma yao kwani kila kitu kimesimama kwa sasa hata wakiwasiliana na makao makuu yao wanambiwa wasubiri tamko la serikali.View attachment 1084574
SIJAMBO JEMA KUWAFIKIRIA WAFANYAKAZI WA PRIDE, KABLA YA KUWAFIKIRIA WATEJA AMBAO WENGI NI WANAWAKE AMBAO HAWAJUI PESA ZAO WATAZIPATAJE.
 
serikali sijui itatwaa nini pride, maana hawana asset zozote mpaka makao makuu walipanga AICC, labda yale mabenchi wanayokalia wateja, na wanadaiwa na CRDB bilioni 12. wamkamate idi simba alipe maden ya watu
 
Back
Top Bottom