Egwugu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 17,558
- 8,551
Siasa zinabadilika na wakati. Kuna wakati wa kuungana na kuna wakati wa kila chama kufanya mambo yake.
Lengo la ukawa limetimia, katiba mpya imekwama.
Kutokana na mazingira ya sasa kikatiba ni vizuri ukawa wakafanya maridhiano wakaenda katika kampeni za uchaguzi kila chama kikiwa na mgombea wake wa nafasi husika. Halafu baada ya kampeni kwenye sanduku la kura mgombea atakaye onekana kuwa na nguvu aungwe mkono na wenzake wa ukawa kwa maridhiano.
So maridhiano ndani ya ukawa kwa wakati huu ndio muhimu kuliko kusimamisha mgombea mmoja.
Baada ya uchaguzi watangalia walichovuna. Ndiposa watafanya maaumuzi mengine
well said!