Hatma ya UKAWA Juni 27, 2015

Hatma ya UKAWA Juni 27, 2015

Nimeipenda hii, kwamba kama mgombea wa urais wa JMT atatoka CDM au NCCR, basi mwanacama mmoja wa CUF kutoka ZNZ itabidi ahamie/ajiunge na CDM/NCCR Mageuzi ili awe mgombea mwenza na pia kulinda masilahi ya CUF ndani ya UKAWA.

This is a smart idea and probably the last but one nail on the coffin of CCM
 
Bora NCCR Mageuzi wajiondoe tu.

Utakuwa ni ushauri wa KIPUMBAVU sana kuwahi kutolewa kwa NCCR

UKWELI ni kwamba nje ya UKAWA NCCR haiwezi kupata zaidi ya wabunge 5.

Ndani ya UKAWA NCCR ina uhakika wa kupata wabunge > 40?

Kipi bora usimamishe wagombea 200 upate wabunge 5 au usimamishe wagombea 60 upatae wabunge 40?

This is simple algebra
 
Back
Top Bottom