Scolari Ndenga
JF-Expert Member
- Aug 4, 2008
- 271
- 43
Wadau,
Kesi ilifunguliwa na wanachama wa CCM kupinga matokeo ya ubunge wa Meashaki Opulukwa wa jimbo la Meatu kupitia CHADEMA iliamuliwa na kumpa ushindi Meashaki Opulukwa kati kati ya mwaka jana.
Kama ilivyo kawaida, wanachama wa CCM wa huko Meatu walikata rufaa na rufaa hiyo inatarajiwa kuamuliwa kesho saa mbili asubuhi kwenye mahakama ya rufaa jijini Dar es salaam kama ilivyokuwa kesi ya lema.
Nini kitajiri hiyo kesho, yetu masikio na macho kwani kuna hofu kubwa CHADEMA inaweza ikapata pigo la kuporwa ubunge
Kesi ilifunguliwa na wanachama wa CCM kupinga matokeo ya ubunge wa Meashaki Opulukwa wa jimbo la Meatu kupitia CHADEMA iliamuliwa na kumpa ushindi Meashaki Opulukwa kati kati ya mwaka jana.
Kama ilivyo kawaida, wanachama wa CCM wa huko Meatu walikata rufaa na rufaa hiyo inatarajiwa kuamuliwa kesho saa mbili asubuhi kwenye mahakama ya rufaa jijini Dar es salaam kama ilivyokuwa kesi ya lema.
Nini kitajiri hiyo kesho, yetu masikio na macho kwani kuna hofu kubwa CHADEMA inaweza ikapata pigo la kuporwa ubunge