Hatma ya ronaldo

CR7 akistaafu soka atanenepeana na ndo utakuwa mwanzo wa magonjwa ya ovyo.

Nashauri aendelee kucheza kama Kuna timu inamhitaji maana kwa timu za kati bado jamaa anasumbua sana.
Ba ako hachezi kanenepa kwani anakula starch kama ww eti anamshauri Ronaldo aina ya menu
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…