Usiseme Lembeli ni mwanasiasa,sema mwanasiasa mfu kwani kiroho tuko naye ila kisiasa alishakufa kitambolembeli kama akitaka kupoteza heshima aliyojijengea arudi ccm. sifa ya mwanasiasa makini ni kuwa na msimamo usioyumba kama dr. slaa....
Amebaki zittoMh Raisi Magufuli naomba nikushauri kama mtoto na mwananchi wakawaida
Ili CCM iwe zuri ladhima tujengee aina ya nidhamu.watu wote wanaohama chama nashauri hakuna kurudi kbsa kbsa kbsa wasiwe tena na nafasi katika utawala wako.hii itafanya chama kuwa na nizamu kubwa sana sana
Si alisema ccm sio mamake wala babake, sasa namshauri aende udp, kwa wanyantuzu.lembeli kama akitaka kupoteza heshima aliyojijengea arudi ccm. sifa ya mwanasiasa makini ni kuwa na msimamo usioyumba kama dr. slaa....
lembel hata Kura za maoni CCM wasingempitisha...his move was rightJua kwamba lembeli alikuwa Wa kwanza kwenda chadema ndio bulayo Na kina lowasa wakaja kwa hiyo alikuwa anajua anafanya nini kushindwa uchaguzi kuna mambo mengi sana najua amejua alikosea wapi atajirekebisha
asiye na mkiawewe ni ng'ombe yupi? mwenye mkia au asie na mkia
Kabisa kumbuka toka Ile ishu ya tokomeza iumize serikali akawa adui yao sababu ya ukweli aliousimamia kwenye tume alianza kuchukiwa Na chama chakelembel hata Kura za maoni CCM wasingempitisha...his move was right
ngombe asiye na mkiaMpendazoe ni loser!!
Kwani mimi nimemshauri chochote raisi juu ya Lembeli?Wwe unataka kuleta siasa za chuki na za kifedhuli,elewa kwamba siasa ni watu na kuhama kwao huko ndio demokrasia ya mabadiliko,nakuomba mh.Rais usiifanyie kazi huu ushauri maana hajui hata maana ya vyama vingi!
asiifanyie kazi wakati kasema wafugaji hawakatazi ngombe aliyekatwa mkia kuingia ila wote wanajua kakatwa mkia tafsiri yake ni ipi?Wwe unataka kuleta siasa za chuki na za kifedhuli,elewa kwamba siasa ni watu na kuhama kwao huko ndio demokrasia ya mabadiliko,nakuomba mh.Rais usiifanyie kazi huu ushauri maana hajui hata maana ya vyama vingi!
Nidhamu katika uovu. Unajua ilimchukua kiasi gani Lamberi kupingana nanyi ktk ufisadi na kulindana katika uovu huo? By the way, mlishinda uchaguzi kahama?
Wanaosema upepo wa Lowasa uliitikisa CCM wasisahau kusema upepo huu pia uliwamaliza kisiasa wasiasa mahiri kama Lembeli na wengineo ambao walisombwa na upepo wa Lowasa na kumfuata upinzani.
James Lembeli ni miongoni mwa wabunge mahiri waliokihama chama cha CCM nakukimbilia CDM.
Ukweli ni kwamba kuhama chama si kosa ila hupaswi kuhama hovyo bali inahitaji sana timing na hili ndilo kosa la wote walioihama CCM kipindi nchi ikiwa kwenye maandalizi yakumthibitisha Magufuli kama raisi wa awamu ya tano.
Ni kweli kwasasa hatma yakisiasa kwa James Lembeli imeshaonekana na hata ukitizama kwa sasa yupo kimya si mitandaoni,radioni ama Luningani.
Nafikiri tangu mwaka huu uanze huenda labda mimi ndio nitakua wa kwanza kumfanya akumbukwe kupitia JF.
Jana tumewaona Fredy Mpendazoe na mzee Mgana msindai wakirejea kutoka uhamishoni na naamini huu ni mwanzo tu ila kwa kasi ya Magufuli tutarajie wengi kurudi CCM.
Kwa hali ilivyo sasa nawiwa kusema kwamba ilikua ni timing mbovu kwa James Lembeli kuihama CCM kwani imepelekea kujiua mwenyewe kisiasa.
kama yuko tayari kuitwa ng'ombe asiye na mkia na aje sasa ni mwendo wa nyumbu na ng'ombe
Unaweweseka - huko watu walishatoka, kovu huwa halitibiki ila kidonda hupona.Escrow bilioni 300+. Meli Chakavu Bilioni 8, Lugumi Bilioni 30+, n.k.
Chama Cha Mang'ombe (CCM).
Chama Cha Majizi (CCM).
Chama Cha Majipu (CCM).