Japkas
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 1,820
- 2,424
Najaribu kufikiria kama ni mdogo wangu wa kike kabisa, halafu ameomba ushauri kama huu jibu lingekuwaje. Hapo jibu lingekuwa moja tu. ACHANA NAYE MARA MOJA NISIJEKUSIKIA.
Iko hivi, mara nyingi hali hii ikitokea wanaovumiliana ni pair mbili tu, yaani ikiwa wote ni waathirika au ni wanandoa tayari.
Lakini kwa wachumba tu tena uchumba usio rasmi mambo yanaweza kuishia hapa.
Jambo la msingi kama ulivyoshauriwa baada ya miezi mitatu nenda kapime. Na kwa sasa kwepa kukutana naye kimwili mpaka uthibitishe status ya afya yako. UKIKUTWA UKO SALAMA KIMBIA MBIO NDEFU.
Ushauri wote unaotolewa humu ni kwa kuwa hawakujui. Mdogo wangu kama ukipima utakuwa salama achana naye. Umia siku moja lakini ukawa na amani ya siku zingine zijazo, kuliko ukaitafuta amani ya sasa kwa msongo na maumivu ya the rest of your life. Wanawake ni wengi wenye status yake na ni wazuri atawapata. Ila kama ana pesa na ndizo unazotaka kujilipua nazo basi sawa kila la heri.
Iko hivi, mara nyingi hali hii ikitokea wanaovumiliana ni pair mbili tu, yaani ikiwa wote ni waathirika au ni wanandoa tayari.
Lakini kwa wachumba tu tena uchumba usio rasmi mambo yanaweza kuishia hapa.
Jambo la msingi kama ulivyoshauriwa baada ya miezi mitatu nenda kapime. Na kwa sasa kwepa kukutana naye kimwili mpaka uthibitishe status ya afya yako. UKIKUTWA UKO SALAMA KIMBIA MBIO NDEFU.
Ushauri wote unaotolewa humu ni kwa kuwa hawakujui. Mdogo wangu kama ukipima utakuwa salama achana naye. Umia siku moja lakini ukawa na amani ya siku zingine zijazo, kuliko ukaitafuta amani ya sasa kwa msongo na maumivu ya the rest of your life. Wanawake ni wengi wenye status yake na ni wazuri atawapata. Ila kama ana pesa na ndizo unazotaka kujilipua nazo basi sawa kila la heri.