Hatimaye yamebaki masaa machache Simba kukandwa heavily

Hatimaye yamebaki masaa machache Simba kukandwa heavily

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
23,027
Reaction score
33,005
Tulisubiri miezi ....wiki ...siku hatimaye siku ya kiama imefika .....ni siku ya Simba kutolewa kwenye michuano dhaifu ( loser cup) ubora wa kikosi Cha Simba hauwezi kuamua mechi Leo ....ni lazima kolo akandwe 2....0

Kama bado hujweka mkeka ..... hujachelewa bado ....beti Simba akandwe 2...0 .....then utanishukuru .....but usisahau kutoa sadaka Baada ya kumla mhindi

Sitasahau....ahadi ya ban ni π ( lazima).......GOD bless Stellenbosch [emoji23]
1723149182681.jpg


Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Tulisubiri miezi ....wiki ...siku hatimaye siku ya kiama imefika .....ni siku ya Simba kutolewa kwenye michuano dhaifu ( loser cup) ubora wa kikosi Cha Simba hauwezi kuamua mechi Leo ....ni lazima kolo akandwe 2....0

Kama bado hujweka mkeka ..... hujachelewa bado ....beti Simba akandwe 2...0 .....then utanishukuru .....but usisahau kutoa sadaka Baada ya kumla mhindi

Sitasahau....ahadi ya ban ni π ( lazima).......GOD bless Stellenbosch [emoji23]
View attachment 3310077

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Usikimbie TU 🦁🦁 Simba a .k .a LIBOLO FC
 
Tulisubiri miezi ....wiki ...siku hatimaye siku ya kiama imefika .....ni siku ya Simba kutolewa kwenye michuano dhaifu ( loser cup) ubora wa kikosi Cha Simba hauwezi kuamua mechi Leo ....ni lazima kolo akandwe 2....0

Kama bado hujweka mkeka ..... hujachelewa bado ....beti Simba akandwe 2...0 .....then utanishukuru .....but usisahau kutoa sadaka Baada ya kumla mhindi

Sitasahau....ahadi ya ban ni π ( lazima).......GOD bless Stellenbosch [emoji23]
View attachment 3310077

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
tupe uchambuzi wako ukionesha ni kwanamna gani simba anapoteza leo
 
Tulisubiri miezi ....wiki ...siku hatimaye siku ya kiama imefika .....ni siku ya Simba kutolewa kwenye michuano dhaifu ( loser cup) ubora wa kikosi Cha Simba hauwezi kuamua mechi Leo ....ni lazima kolo akandwe 2....0

Kama bado hujweka mkeka ..... hujachelewa bado ....beti Simba akandwe 2...0 .....then utanishukuru .....but usisahau kutoa sadaka Baada ya kumla mhindi

Sitasahau....ahadi ya ban ni π ( lazima).......GOD bless Stellenbosch [emoji23]
View attachment 3310077
Ni vizuri ukaweka akiba ya maneno hata kama wewe ni yeboyebo kindakindaki.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Tulisubiri miezi ....wiki ...siku hatimaye siku ya kiama imefika .....ni siku ya Simba kutolewa kwenye michuano dhaifu ( loser cup) ubora wa kikosi Cha Simba hauwezi kuamua mechi Leo ....ni lazima kolo akandwe 2....0

Kama bado hujweka mkeka ..... hujachelewa bado ....beti Simba akandwe 2...0 .....then utanishukuru .....but usisahau kutoa sadaka Baada ya kumla mhindi

Sitasahau....ahadi ya ban ni π ( lazima).......GOD bless Stellenbosch [emoji23]
View attachment 3310077

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Mkuu uende fesibuku huku ubatumia nguvu nyingi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom