voicer
JF-Expert Member
- Jul 13, 2020
- 5,552
- 11,892
Naam!
Sinema bado inaendelea kwa kasi huku vioja vikiendelea kujitokeza. Leo kuna matukio mawili makubwa yaliyotokea.
Waraka wa Baraza la Maaskofu (Roman Catholic) kupinga mkataba wa ubinafsishaji wa bandari za Tanganyika, ambao umesomwa nchi nzima katika kila kanisa na vigango vyake kote nchini. Jambo hili limewachanganya sana!
Na hivyo kupelekea kuibuka kwa tukio la pili...
Tukio la pili ni lile la kuibuka Rais Mstaafu Awamu ya Nne kutokea huko Rorya-Mara. Yeye anaujibu waraka huo kwa kuigeuza hoja na kuwa "Udini," akiamini yeye kwamba hatuelewi kinachoendelea.
Kiujumla, hawa wakuu wanazidi kujiumbua wao wenyewe, wameona wajaribu kutumia majukwaa ya kidini ili na ku-push DP-WORLD.
Sasa wamesambaa nchi nzima kwenye Mimbari ya kidini.
Kisa ni "DEEP- WORLD"
Kesho tunasubiri tumsikie Kinara wa nchi kwenye Jubilei nyingine ya kanisa lingine la "Anglican" kutimiza miaka 60 huko Arusha.ambako wamemualika.
Hii ni kwa kwa sababu "Starling" wa movie anaijua kabisa nguvu ya TEC.
Anajua kwamba TEC inao uwezo wa kuongea na dunia na ikaeleweka.
Na sio kueleweka tu,bali pia kuaminika kwa 100%.
View attachment 2723668
Sinema bado inaendelea kwa kasi huku vioja vikiendelea kujitokeza. Leo kuna matukio mawili makubwa yaliyotokea.
Waraka wa Baraza la Maaskofu (Roman Catholic) kupinga mkataba wa ubinafsishaji wa bandari za Tanganyika, ambao umesomwa nchi nzima katika kila kanisa na vigango vyake kote nchini. Jambo hili limewachanganya sana!
Na hivyo kupelekea kuibuka kwa tukio la pili...
Tukio la pili ni lile la kuibuka Rais Mstaafu Awamu ya Nne kutokea huko Rorya-Mara. Yeye anaujibu waraka huo kwa kuigeuza hoja na kuwa "Udini," akiamini yeye kwamba hatuelewi kinachoendelea.
Kiujumla, hawa wakuu wanazidi kujiumbua wao wenyewe, wameona wajaribu kutumia majukwaa ya kidini ili na ku-push DP-WORLD.
Sasa wamesambaa nchi nzima kwenye Mimbari ya kidini.
Kisa ni "DEEP- WORLD"
Kesho tunasubiri tumsikie Kinara wa nchi kwenye Jubilei nyingine ya kanisa lingine la "Anglican" kutimiza miaka 60 huko Arusha.ambako wamemualika.
Hii ni kwa kwa sababu "Starling" wa movie anaijua kabisa nguvu ya TEC.
Anajua kwamba TEC inao uwezo wa kuongea na dunia na ikaeleweka.
Na sio kueleweka tu,bali pia kuaminika kwa 100%.
View attachment 2723668