Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 27,549
- 34,877
Huyu jamaa ni mwajiriwa hapo Lumumba?Unapotengeneza uongo tumia hata hiyo akili ndogo ya kuvukia barabara uliyonayo , Chadema iko na Mdude kabla ya huo upuuzi wako wa kulazimisha posho za lumumba baada ya aliyekuwa anakulipa Humphrey Polepole kung"olewa .
Na ukiendelea kuleta ujinga tutakuanika kwa majina yako yote matatu , tunafahamu hutafanywa kitu lakini angalau mitaani utajulikana
Liwalo na liwe
.. anyway ni jambo jema wao kumtembelea mwanachama wao.