MsemajiUkweli
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 13,172
- 23,974
Baada ya kuleta mada hapa Jamiiforums na kuuliza hatma ya anayejiita ''Mdude Chadema'' hatimaye viongozi wa CHADEMA wameenda kumuona mahakamani.
Siwezi kusema kama kitendo walichokifanya viongozi wa CHADEMA kwenda kumuona anayejiita ''Mdude Chadema'' mahakamani wamefanya kwa mapenzi mema au tu kwenda ''kuuza sura'' baada ya kusoma mada yangu niliyoileta hapa na wachangiaji wengi kuwazodoa CHADEMA ambao kiuhalisia ndio waliokuwa wanampa sifa na kumshangilia.
Kwa wale ambao hawakuisoma mada inayomhusu huyu anayejiita ''Mdude Chadema'' wanaweza kusoma kwa kugonga link hii;
Sitaki nionekane ninawatisha watu lakini ukweli utabaki kuwa ukweli kuwa ''mzigo wa matendo ya kijinga utaubeba peke yako!
Anayeonekana kutupa kisogo kwenye picha ni aliyekuwa Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi akiongea na anayejiita ''Mdude Chadema'' baada ya kufikishwa mahakamani.
Siwezi kusema kama kitendo walichokifanya viongozi wa CHADEMA kwenda kumuona anayejiita ''Mdude Chadema'' mahakamani wamefanya kwa mapenzi mema au tu kwenda ''kuuza sura'' baada ya kusoma mada yangu niliyoileta hapa na wachangiaji wengi kuwazodoa CHADEMA ambao kiuhalisia ndio waliokuwa wanampa sifa na kumshangilia.
Kwa wale ambao hawakuisoma mada inayomhusu huyu anayejiita ''Mdude Chadema'' wanaweza kusoma kwa kugonga link hii;
Waliokuwa wanamshangilia na kumsifu anayejiita 'Mdude Chadema' wako wapi?
Siasa za nchi hii ukizivamia bila kujua vizuri historia yake lazima zitakupeleka sehemu ambayo ulidhani haiwezekani! Wanasiasa wanaozijua vizuri siasa za nchi hii kwa sasa wako na familia zao huku wale ambao walizivamia bila kuzijua kwa sasa wako sehemu ambayo hawakutegemea! Anayejiita ''Mdude...
www.jamiiforums.com
Sitaki nionekane ninawatisha watu lakini ukweli utabaki kuwa ukweli kuwa ''mzigo wa matendo ya kijinga utaubeba peke yako!
Anayeonekana kutupa kisogo kwenye picha ni aliyekuwa Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi akiongea na anayejiita ''Mdude Chadema'' baada ya kufikishwa mahakamani.