Hatimaye Vijana wa Zanzibar watengeneza Helicopter, Serikali yawanyima Kibali cha kupaa angani hadi Wasomee Urubani

Kweli mi-afrika tumelaaniwa kibali tu kina shida gani? Kama wao si matubani nchi si ina marubani wengi tu kwa nini isichukue rubani ambaye tayari amesomea ili kushirikiana nao?
Yaani inaudhi kweli, wamekalia kunyima kibali tuu badala ya kupeleka wataalam wakaikague kama ni salama kupaa nayo na kama inauwezo wa kupaa kweli...
 
Kill yourself kama unajichukia mkuu....none of us will cry for you....

Hapo hakuna ugunduzi....technology ya kutengeza chopper tayari ipo.....you don't re-invent the existing wheel....

Wafate taratibu kusajili ugunduzi wao....aviation industry ni one the most highly regulated all over the world....tusidanganyane....

si kila jambo tunaweka siasa jameni...
Ipo ya nani? Ujinga huu ndiyo maana meletewa ushoga, ugaidi (al shabab, Boko haram) na usagaji. Hakuna nchi yyte duniani iliyoendelea ambayo haikutengeneza vitu vyake.
Kila kitu tunanunua, Afrika ni dampo. Kwa akili zako, Afrika itabaki kuwa bara giza milele.
Acha kudandia gari kwa mbele, na ukigongwa na kupata mimba uanze kuwalalamikia watu.
Shubamiti mkubwa ww
 
Aiaee wewe ni bweege shule kusomea ugunduzi wao? Hahaa haaaa
Jiongeze kijana.....unawatia aibu wazazi wako....
Wamekataliwa kurusha angani kwa kuwa hawana taaluma ya urubani....
Halafu....hapo pana ugunduzi....unagundua kutengeneza chopper leo....?

Huko shule ulienda kusomea ujinga...?
 
Ipo ya nani? Ujinga huu ndiyo maana meletewa ushoga, ugaidi (al shabab, Boko haram) na usagaji. Hakuna nchi yyte duniani iliyoendelea ambayo haikutengeneza vitu vyake.
Kila kitu tunanunua, Afrika ni dampo. Kwa akili zako, Afrika itabaki kuwa bara giza milele.
Acha kudandia gari kwa mbele, na ukigongwa na kupata mimba uanze kuwalalamikia watu.
Shubamiti mkubwa ww
Poor you....
The wise don't attack personality but rather they attack hoja....

I will be wasting my precious time kulumbana na mpumbavu....
 
Poor you....
The wise don't attack personality but rather they attack hoja....

I will be wasting my precious time kulumbana na mpumbavu....
Unachekesha sana. Ndiyo matatizo ya kuquote watu ovyo. Ulifikiri Jf ni Facebook? Usipende kuquote watu ovyo. Utagongwa ww. Siku nyingine, you will be fu*****d. Tabia ya kuquote watu ovyo acha mara moja.
Don't be mad *********
Eres un puto agujero de culo
 
Waache bangi hao vijana nakumbuka kuna moja ilizinduliwa kipindi cha kampeni sijui ilipaa ile
 
Mbona hairuki?
Kuna mhandisi mmoja mhindi aliunda ndege juu ya paa
Serikali ikajitolea kumsaidia
Huku kwetu taratibu, vibali ( watoa vibali wengine walishakufa) ,sheria n.k
Serikali za majimbo zingeweza kutusaidia hii top down inatuchelewesha kuleta maendeleo
Pia wazungu waliturithisha taratibu za ajabu ambazo zinatifanya tuchelewe kujiletea maendeleo
Kitu kidogo cha kumaliza dk 5, kwa tz ni mwezi
 
Yani waipaishe juu ya nyumba za watu? Waache ujinga. Wakaipaishe juu ya bahari au jangwa.
 
IMG_20180107_071743_043.jpg

Hao vijana wameweka na hiyo bolt?.
 
Hao jamaa inawezekana kichwani hawapo vizuri
Somtimes akili zikizidi sana unakuwa taahira.

Hio sio helikopta ya kuruka nayo angani.

Ni kifo hicho.
Technology ya helicopta na ndege imefika mbali sana kwa karne hii.

Nashauri jamaa wapelekwe mirembe
 
Unachekesha sana. Ndiyo matatizo ya kuquote watu ovyo. Ulifikiri Jf ni Facebook? Usipende kuquote watu ovyo. Utagongwa ww. Siku nyingine, you will be fu*****d. Tabia ya kuquote watu ovyo acha mara moja.
Don't be mad *********
Eres un puto agujero de culo
Daah.
Haya matusi ndugu yangu hukutendei haki hilo jina bob.
 
kwanza niwasahihishe baadhi ya wachangiaji, hapo wameandika "wametengeneza" na sio "wamevumbua"

katika science haswa maswala ya engineering trial and error phase ni kitu ambacho hakiepukiki ,stage hii ni lazima uipitie ili uweze kugundua performance,safety,quality of such stuff ili kama kuna kasoro ulifix au ikiwezekana u upgrade kabisa


so kitu walichofanya hawa vijana wenzangu wa zanzibar na kuungwa mkono na kupewa sapoti ili waweze kufika malengo yao , Au Hatupendi kusikia/kuona neno MADE IN TANZANIA

nawapongeza sana japo wanapata changamoto toka serikalini ila naomba wasife moyo tutafika tu hata tukichelewa Waafrika tunajua mapungufu yetu
 
Back
Top Bottom