Nchi ya kifala sana hii kila anaejitahidi kutengeneza kitu anazuiwa .... Na si mmoja wapo wengi kama hao walio wekewa figisu...Nchi za wenzetu hawa wanasadiwa kwetu ukitengeneza bunduki unakamatwa
Uwanja gani mkuuu tukaishuhudieMamlaka imewaazuia..ila jioni huwa wanaipasha moto na kuzunguka uwanjani tu theni inazimwa
Waitembeze barabarani au wakairushe pwani baharini.Nmeweka mkuu, unashauri wafanyeje hawa vijana?
Wakamuone mama atawapa kibarNmeweka mkuu, unashauri wafanyeje hawa vijana?