Hatimaye Vijana wa Zanzibar watengeneza Helicopter, Serikali yawanyima Kibali cha kupaa angani hadi Wasomee Urubani

Jiongeze kijana.....unawatia aibu wazazi wako....
Wamekataliwa kurusha angani kwa kuwa hawana taaluma ya urubani....
Halafu....hapo pana ugunduzi....unagundua kutengeneza chopper leo....?

Huko shule ulienda kusomea ujinga...?
Hivi waliovumbua toyota walienda tena shule kwasababu Benz ilishagunduliwa?
Au wavumbuzi wa bastola walienda shule kwakuwa kulikuwa na smg?
Tha ensue niii!!! watumishi wengi wa serikali wanawaza kwa kutumia naniliiii...
Tena jamaa anakwambia alishagundua gari dogo wakamwacha sasa ingekuwa kwa wenzetu leo could talk kitu kingine kuhusu yeye
Naaa!! ina maana ni jambo dogo sana kafanya hadi wakashindwa kumsomesha wao wenyewe serikali? Yaani wamempuuzia kama vile katengengeneza baiskeli ya miti
Si angetutengenezea helicopter ya brand yetu huyu.
Serikali ???! Mi nawadharau sana wafanyakazi aise

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
 
kwanza niwasahihishe baadhi ya wachangiaji, hapo wameandika "wametengeneza" na sio "wamevumbua"

katika science haswa maswala ya engineering trial and error phase ni kitu ambacho hakiepukiki ,stage hii ni lazima uipitie ili uweze kugundua performance,safety,quality of such stuff ili kama kuna kasoro ulifix au ikiwezekana u upgrade kabisa


so kitu walichofanya hawa vijana wenzangu wa zanzibar na kuungwa mkono na kupewa sapoti ili waweze kufika malengo yao , Au Hatupendi kusikia/kuona neno MADE IN TANZANIA

nawapongeza sana japo wanapata changamoto toka serikalini ila naomba wasife moyo tutafika tu hata tukichelewa Waafrika tunajua mapungufu yetu
Hizi ndizo hatua ya kufikia advanced technology. Wazungu walianza kweny steam engine mpaka kweny gas/oil engine. Hawa vijana wangepewa support tungefika mbali.
"Hakuna nchi yyte dunia iliyoendelea kwa kutegemea wawekezaji au kuagiza vitu nje ya nchi''
 
Hivi waliovumbua toyota walienda tena shule kwasababu Benz ilishagunduliwa?
Au wavumbuzi wa bastola walienda shule kwakuwa kulikuwa na smg?
Tha ensue niii!!! watumishi wengi wa serikali wanawaza kwa kutumia naniliiii...
Tena jamaa anakwambia alishagundua gari dogo wakamwacha sasa ingekuwa kwa wenzetu leo could talk kitu kingine kuhusu yeye
Naaa!! ina maana ni jambo dogo sana kafanya hadi wakashindwa kumsomesha wao wenyewe serikali? Yaani wamempuuzia kama vile katengengeneza baiskeli ya miti
Si angetutengenezea helicopter ya brand yetu huyu.
Serikali ???! Mi nawadharau sana wafanyakazi aise

Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app
Upo sahihi mkuu.
Mambo haya haya ndiyo maana tunaletewa mpaka ushoga, usagaji nasi tunapokea,
Ni rahisi sana mwafrika kumuambukiza ujinga kuliko mzungu. Leo kila kitu tunaambiwa tukasomee. Wenzetu hata shule hawakwenda lkn wanafanya mambo makubwa sana kuliko hata uwezo wao.
"Hakuna nchi yyte dunia iliyoendelea kwa kutegemea wawekezaji au kuagiza vitu nje ya nchi''
 
Serikali iache kuwabania iwaunge mkono,waangalie helicopter ya kwanza kutengenezwa jinsi ilivyokua inafanyiwa majaribio ya kuruka hadi mwisho ikapatikana yenye uwezo mkubwa baada ya kuboresha baadhi ya vitu
 
Mgunduzi wa kweli hacopy kile kilichogunduliwa na watangulizi wake. Badala yake gundua kitu ambacho ni geni duniani na kina hitajika sana kutatua changamoto za maisha.
 
Hongera Zanzibar nasio Tanzania huku bara tulichogundua ni Siasa za visa chuki na wanawake kuka uchi mitandaoni na kuongezeana kodi na misalagambo ya ujezi wa shule
 
watu kma hawa wakithaminiwa tusingekua tuna nunua Bomberdia Canada
 
Ukijaliwa utundu wa copy and paste halafu huna elimu wala uelewa wa sheria utapata taabu sana utaona kama unaonewa na kudhulumiwa.
 
kwanza niwasahihishe baadhi ya wachangiaji, hapo wameandika "wametengeneza" na sio "wamevumbua"

katika science haswa maswala ya engineering trial and error phase ni kitu ambacho hakiepukiki ,stage hii ni lazima uipitie ili uweze kugundua performance,safety,quality of such stuff ili kama kuna kasoro ulifix au ikiwezekana u upgrade kabisa


so kitu walichofanya hawa vijana wenzangu wa zanzibar na kuungwa mkono na kupewa sapoti ili waweze kufika malengo yao , Au Hatupendi kusikia/kuona neno MADE IN TANZANIA

nawapongeza sana japo wanapata changamoto toka serikalini ila naomba wasife moyo tutafika tu hata tukichelewa Waafrika tunajua mapungufu yetu
waveja tata
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom