Hatimaye Vijana wa Zanzibar watengeneza Helicopter, Serikali yawanyima Kibali cha kupaa angani hadi Wasomee Urubani

Kweli mi-afrika tumelaaniwa kibali tu kina shida gani? Kama wao si matubani nchi si ina marubani wengi tu kwa nini isichukue rubani ambaye tayari amesomea ili kushirikiana nao?
 
Mawazo km haya ndiyo yamesababisha bara la Africa likaitwa bara giza. Na Mungu hakukosea kutuumba weusi.
Ukifuatilia historia ya wazungu, nao walianza km hivi na mwisho wa siku wakatengeneza vitu vyenye uwezo mkubwa. Ngozi nyeusi ishalaaniwa tangu zamani. Ni rahisi sana kumfundisha ujinga mwafrika kuliko mzungu.
Nachukia sana kuzaliwa Africa na kuwa ngozi nyeusi. Wafrika ni watu wajinga sana
Umeandika point sana....

Ova
 
Wao wawe wahandisi tu, kuiusha watafute marubani, kama watakubali, na wawawekee bima ya kueleweka.
 
Mawazo km haya ndiyo yamesababisha bara la Africa likaitwa bara giza. Na Mungu hakukosea kutuumba weusi.
Ukifuatilia historia ya wazungu, nao walianza km hivi na mwisho wa siku wakatengeneza vitu vyenye uwezo mkubwa. Ngozi nyeusi ishalaaniwa tangu zamani. Ni rahisi sana kumfundisha ujinga mwafrika kuliko mzungu.
Nachukia sana kuzaliwa Africa na kuwa ngozi nyeusi. Wafrika ni watu wajinga sana
Kill yourself kama unajichukia mkuu....none of us will cry for you....

Hapo hakuna ugunduzi....technology ya kutengeza chopper tayari ipo.....you don't re-invent the existing wheel....

Wafate taratibu kusajili ugunduzi wao....aviation industry ni one the most highly regulated all over the world....tusidanganyane....

si kila jambo tunaweka siasa jameni...
 
Ushauri wangu kwao waende kwenye bara lolote linaloingiza vifaa vya teknolojia Afrika wakaombe uraia wa huko hii itawasaidia tofauti na huku sisi bara letu huwa nilakununua tu na sio kutengeneza,kwanza hata hivyo wanabahati wangekuwa gerezani sasa.
 
Kuna watu wakati wanajaribu kugundua nuclear. Walikufa wakiwa kwenye majaribio.
laiti kama na wengine wangekuwa waoga baada ya kujua wenzao wamekufa kwa sababu ya nuclear. Leo hii tusingeijua nuclear
Sasa hawa wanavumbua nn kitu ambacho maelfu ya watu duniani wanafanya tayari...hawatakua na ..research gap ni kitu muhimu sana
 
Waende shule kwanza....hatutaki wapewe vibali bila ithibati ya kitaaluma halafu kukitokea maafa serikali ilaumiwe kwa uzembe....
Aiaee wewe ni bweege shule kusomea ugunduzi wao? Hahaa haaaa
 
View attachment 670988
Katika hali isio ya kawaida au kuzoeleka kwa mara ya kwanza visiwani Zanzibar kumetengezwa ''helicopter'' ambayo ina uwezo wa kuruka angani kama zilivo nyengine.

Omary said Omary amesema anachosubiria sasa ni vibali kutoka Serikalini ili aweze kupaaa angani.

Amesema Serikali huwa inawazuia kupaa eti hadi wakasomee urubani na yeye anasema kusomea urubani ni gharama sana. Kila siku wanaomba kibali waweze kupaa na Chopa yao lakini wananyimwa.

Amesema waliwaambia kama wao hawataki ipae basi waje wao wanaojua urubani wapae nayo angani lakini wamekuwa wakizungusha zungusha hawataki kuja.

Omary said Omary amesema yeye na Baba yake washawahi kutengeneza Gari mbili, Mashine ya kutotolea vifaranga na Baloon kama ile wnayotumia watalii.

Lakinii hiyo baloon Serikali iliwakataza kuitumia kwa sababu hawana vibali na Serikali haitoi Vibali.

Hivyo Wameiomba Serikali iache kuwazungusha kuwapa Kibali.

Habari zaidi angali ahii Video.

Wametengeneza au wameigiza helikopta? Helicopter zilishatengenezwa zamani, kwa hiyo hakuna jipya hapo. Wapate vibali vinavyohusika wapae na helicopter yao. Makelele yote haya ya nini?
 
Wametengeneza au wameigiza helikopta? Helicopter zilishatengenezwa zamani, kwa hiyo hakuna jipya hapo. Wapate vibali vinavyohusika wapae na helicopter yao. Makelele yote haya ya nini?
Hao waliyosoma Hata kutengeneza gari la box/bati la toy wameshindwa ......

Ova
 
HIVI INAWEZEKANAJE MTU ABUNI GARI NA ASIJUE KUENDESHA GARI? KTK HALI YA KAWAIDA HAIWEZEKANI DEREVA ALIJUE GARI VZURI KULIKO ALIYEUNDA GARI.. VIJANA WATIWE MOYO BADALA YA KUWEKEWA VKWAZO
 
Back
Top Bottom