hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,116
wabongo bwana ..kakukatishana tamaa ndio wanachokijua..yaani watu wamejidhatiti nakujituma mpka wamefikia hpo walipo mnaanza kuwakashifu nakuwadharau aiseeee
hata kama sio wao waliowahi kugundua chopper lakini hiyo hatua waliyofikia nihatua nzuri kwaanaye jifnza ili aweze kufikia hatua yakubuni kitu chake ...so hao walipaswa kuchukuliwa nakupewa muongozo imara kielimu ili waweze kufikia katk malengo stahiki ""
leo wametngeneza chopper IPO siku wataunda kitu kikubwa kipya kwaajili yaanufaa yataifa ..walichokifnya nimoja ya stage ya kujifnza pia
hata kama sio wao waliowahi kugundua chopper lakini hiyo hatua waliyofikia nihatua nzuri kwaanaye jifnza ili aweze kufikia hatua yakubuni kitu chake ...so hao walipaswa kuchukuliwa nakupewa muongozo imara kielimu ili waweze kufikia katk malengo stahiki ""
leo wametngeneza chopper IPO siku wataunda kitu kikubwa kipya kwaajili yaanufaa yataifa ..walichokifnya nimoja ya stage ya kujifnza pia