Baba Nuhu jenga safina baba jenga, tunakuamini tutaingia humo na mbegu za wanyama kwa kila aina isije gharika ikatukuta wakati mlango utafungwa!Poleni na starehe za sikukuu.
Hatimaye tunaingia mwaka mbaya kuanzia mabidiliko ya tabia ya nchi mpaka maisha ya mtu mmoja mmoja nyumbani.
Sipendi kuidanganya nafsi yangu, na pia nawasihi hivyo. Ni bora kujipanga mapema usiseme hatukukwambia.
Uchawi haupo, kama unaamini upo mwakani utakua mbaya sana kwako.Uchawi huo!!!
Same old shitNinayo imani mwaka unao anza 20 22 ni mwaka mwema kwangu.
Imani??Ninayo imani mwaka unao anza 20 22 ni mwaka mwema kwangu.
Hueleweki!!!Imani??
Ukiwa na imani tu mwaka utakua mzuri, kuanzia global warming itaisha mpaka uchumi wako utakua wakutosheleza ipasavyo.