Aliyetunga hii takwimu angekuwa karibu ningempatia zawadi
Tanzania tunaamini ushirikina mpaka kero
Mabasi yakiwaka moto tunadai uchawi wakati ni hitilafu kwenye mifumo ya umeme,poor service,kuweka mafuta ilhali gari ipo on nk nk lkn tunaanza kulaumu majini ,
Viko vingi vya kushangaza ila kwa hili Tz tunaongoza sipingi hii takwimu