Hatimaye TB Joshua afichua siri zake!

Hatimaye TB Joshua afichua siri zake!

Ugalatia ni utapelitapeli tu, watu wanaaminiwa kuliko hata huyo Mungu utatu wao kuwa na miujiza! Mtihani sana kwakweli, Allah sw tunusur waja wako-wengi hawakujui kwa sifa zako!

Mbona Biblia imeshakuzungungumza hata kabla hujazaliwa, Kama huwezi kukubali kwamba unayemwabudu ni shetani, utaanzaje kumjua Mungu?

Endelea kuabudu hilio shetani linalokuahidini kwamba mwende tu motoni litakapotia mguu wake kule eti litakuja kuwaokoa!.
 
Mi nkajua majibu ya kwanini alifeli kwenye unabii wake wa nani atakua rais wa marekani
 
Ukiwa unamuamin mungu wa kwel halafu ukamtukana yule anaeabudu mungu wa uongo,atakutukania mungu wako wakwel hivo nibora kutojihusisha na mungu wa uongo ili usije kutukaniwa na mungubwako waukwel
 
Ugalatia ni utapelitapeli tu, watu wanaaminiwa kuliko hata huyo Mungu utatu wao kuwa na miujiza! Mtihani sana kwakweli, Allah sw tunusur waja wako-wengi hawakujui kwa sifa zako!

Poa nimeisha wanusur waja wangu
 
Ugalatia ni utapelitapeli tu, watu wanaaminiwa kuliko hata huyo Mungu utatu wao kuwa na miujiza! Mtihani sana kwakweli, Allah sw tunusur waja wako-wengi hawakujui kwa sifa zako!
Acha kukashifu dini za watu we maamuma.

Kajifunze ufugaji wa kisasa wa nguruwe ujiongezee kipato, sio kukaa mitandaoni kukashifu dini za watu.
 
Mbona anaanza kupotezea alivyokosea ?
Anawachezea kisaikologia msahau ya Trump kwi kwi kwi
 
Ukiwaacha na huo utapeli na upotevu katika imani yao,utakua umefanya jambo moja la maana sana kuliko kuwaingilia na kuwapangia ni nini cha kuamini na nini cha kutoamini,Wee omba kwa unayemuamini akutie nguvu katika imani yako na si kufuatilia imani za wengine kwani haitakusaidia chochote zaidi ya kukuletea mitafaruku.Nimeshauri tu bro.

Ushauri mzuri sana
 
Ugalatia ni utapelitapeli tu, watu wanaaminiwa kuliko hata huyo Mungu utatu wao kuwa na miujiza! Mtihani sana kwakweli, Allah sw tunusur waja wako-wengi hawakujui kwa sifa zako!
We jamaa ni kama fara
Sanaaa nahisi hata una majini mana huo upande wenu ni majini tuu na mashetwani
 
Back
Top Bottom