Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,211
- 99,963
Hizi mada nyingine bhana
Nimeandika kiuanasheria zaidi, huwezi kuelewa style hiyo.U
umeanza vibaya ukamalizia vizuri. Dini ni imani hivyo huwezi kusema ni utapeli. Kama huna imani huo ni uamuzi wako na Kama kuna mwenye imani ni uamuzi wake. Dini ni kitu kizuri lakini nikiri kuwa kuna wahuburi wa uongo ambao ni wengi tu.
Sawa bwana-tuko kotiniNimeandika kiuanasheria zaidi, huwezi kuelewa style hiyo.
Nimeanza na conclusion halafu nikaweka arguments na equivocations.
Dini zipi ambazo si za vitabuni si utapeli?Dini zote za vitabuni ni utapeli.
Hakuna Ugalatia wala Uyahudi wala Uislamu.
Zote Kamba tupu.
Ndiyo maana unaambiwa ni mambo ya Imani, uamini au uache, hutakiwi kuchunguza sana.
Ukichunguza sana utajua ukweli.
We maku kweli unaona sifa kula nguruwe na bia ndio umeona kitu cha maana sana! Watu wanakula mbwa paka panya na hawajisifiinjoo hapa TOROKA UJE KIMARA KOROGWE uje kula kitimoto na castle lager acha undezi
AlqaedaUgalatia ni utapelitapeli tu, watu wanaaminiwa kuliko hata huyo Mungu utatu wao kuwa na miujiza! Mtihani sana kwakweli, Allah sw tunusur waja wako-wengi hawakujui kwa sifa zako!
Na hao wanao tumia mabomu huku wanatangaza amani huwaoni. Wanao kulana tigo midume kwa midume ndio amani na Mapenzi ya Bwana. Ngoja waje huku muungane naoWaislam wanatangaza amani huku wameficha upanga kiunoni
Roho mtakatifu ni binamu au mjomba kwa huyo mungu ?!TB Joshua anafanya kazi za Mungu aliye hai kupitia mwanae wa pekee Yesu Kristo wa Nazaret akiongozwa na Roho mtakatifu....
Sasa tupate kauli ya hitimisho. Dini vs Utapeli. Ninini kifanyike kuondoa tatizo?U
umeanza vibaya ukamalizia vizuri. Dini ni imani hivyo huwezi kusema ni utapeli. Kama huna imani huo ni uamuzi wako na Kama kuna mwenye imani ni uamuzi wake. Dini ni kitu kizuri lakini nikiri kuwa kuna wahuburi wa uongo ambao ni wengi tu.
Mimi binafsi naamini kuwa Mungu yupo na Imani yangu ni yangu mwenyewe siwezi kuwa influenced na mtu yoyote awe mhubiri au la. Watumishi wa Mungu wapo wa aina mbili wale walioitwa katika kazi hii na wale ambao wanafanya hii kazi kwa kuwa hakuna alternative nyingine. Hilo kundi la pili ndio wanakuwa matapeli kwani pesa ndio wito wao. Kuna wale walioitwa lakini baadaye wanaanguka kwa sababu ya pride kama yuda. Ukiona kanisa hakuna mafundisho ya neno la Mungu badala yake mkazo umewekwa kwenye kuonyesha uwezo wa kufufua watu waliokufa na kadhalika hapo jua hakuna Mungu bali inatafutwa sadaka tu. Yesu mwenyewe alifundisha neno. Baada ya kusema hayo niache wengine waamue Kama TB Joshua anayofanya ni ya Mungu au la.Sasa tupate kauli ya hitimisho. Dini vs Utapeli. Ninini kifanyike kuondoa tatizo?
DhihirishaTB Joshua anafanya kazi za Mungu aliye hai kupitia mwanae wa pekee Yesu Kristo wa Nazaret akiongozwa na Roho mtakatifu....