Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,505
- 16,005
Kapate kit I moto acha ujinga weweUgalatia ni utapelitapeli tu, watu wanaaminiwa kuliko hata huyo Mungu utatu wao kuwa na miujiza! Mtihani sana kwakweli, Allah sw tunusur waja wako-wengi hawakujui kwa sifa zako!
Ugalatia ni utapelitapeli tu, watu wanaaminiwa kuliko hata huyo Mungu utatu wao kuwa na miujiza! Mtihani sana kwakweli, Allah sw tunusur waja wako-wengi hawakujui kwa sifa zako!
Ugalatia ni utapelitapeli tu, watu wanaaminiwa kuliko hata huyo Mungu utatu wao kuwa na miujiza! Mtihani sana kwakweli, Allah sw tunusur waja wako-wengi hawakujui kwa sifa zako!
Jadili mada usi generalize. Nikukumbushe mada ni tb Joshua na sio ukristo wala uisilamu.Ugalatia ni utapelitapeli tu, watu wanaaminiwa kuliko hata huyo Mungu utatu wao kuwa na miujiza! Mtihani sana kwakweli, Allah sw tunusur waja wako-wengi hawakujui kwa sifa zako!
Kama alikuwa hajazaliwa huo utabiri aliusikiaje? Tumboni miezi 15 Hilo nalo linatosha kudhibitisha kuna tatizo hapo. Mimi ni Nani kuhukumu? Ila biblia inasema Yesu akikaribia kurudi kutakuwepo na wahuburi wa uongo. Je, hatuwaoni? Tafakari na omba Mungu akufunulie kuwajua hawa wanaojiita watakatifu for the sake of pesa.
Ugalatia ni utapelitapeli tu, watu wanaaminiwa kuliko hata huyo Mungu utatu wao kuwa na miujiza! Mtihani sana kwakweli, Allah sw tunusur waja wako-wengi hawakujui kwa sifa zako!
Dini zote za vitabuni ni utapeli.Ugalatia ni utapelitapeli tu, watu wanaaminiwa kuliko hata huyo Mungu utatu wao kuwa na miujiza! Mtihani sana kwakweli, Allah sw tunusur waja wako-wengi hawakujui kwa sifa zako!
Weka akiba ya maneno dogo.Dini zote za vitabuni ni utapeli.
Hakuna Ugalatia wala Uyahudi wala Uislamu.
Zote Kamba tupu.
Ndiyo maana unaambiwa ni mambo ya Imani, uamini au uache, hutakiwi kuchunguza sana.
Ukichunguza sana utajua ukweli.
of course, dead and gone!Allah is dead!
umeanza vibaya ukamalizia vizuri. Dini ni imani hivyo huwezi kusema ni utapeli. Kama huna imani huo ni uamuzi wako na Kama kuna mwenye imani ni uamuzi wake. Dini ni kitu kizuri lakini nikiri kuwa kuna wahuburi wa uongo ambao ni wengi tu.Dini zote za vitabuni ni utapeli.
Hakuna Ugalatia wala Uyahudi wala Uislamu.
Zote Kamba tupu.
Ndiyo maana unaambiwa ni mambo ya Imani, uamini au uache, hutakiwi kuchunguza sana.
Ukichunguza sana utajua ukweli.
Umejuaje mimi ni dogo?Weka akiba ya maneno dogo.