Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
Kuna taarifa za uhakika kwa 100% kuwa serikali imeshindwa kukidhi kulipa madai ya malimbikizo ya mishahara ya wafanyakazi katika hospitali ya taifa ya Muhimbili.Malimbikizo hayo yametokana na nyongeza ya mishahara iliyotangazwa mwaka jana na serikali( salary in arrears) kwa kipindi cha july to February.
Jana kaimu Mkurugenzi mkuu wa hospitali pamoja na viongozi wa chama cha wafanyakazi MNH waliongozana kwenda wizarani kujua kulikoni pesa za malimbikizo ziwasilishwe kidogo.
Sasa tunaanza kuamini kuwa serikali imefilisika kama inashindwa kulipa hata mishahara ya wafanyakazi( preferential obligations).
Jana kaimu Mkurugenzi mkuu wa hospitali pamoja na viongozi wa chama cha wafanyakazi MNH waliongozana kwenda wizarani kujua kulikoni pesa za malimbikizo ziwasilishwe kidogo.
Sasa tunaanza kuamini kuwa serikali imefilisika kama inashindwa kulipa hata mishahara ya wafanyakazi( preferential obligations).