Hatimaye serikali yakosa pesa za kulipa mishahara ya wafanyakazi muhimbili-mnh

Lu-ma-ga

JF-Expert Member
Sep 21, 2010
4,780
3,227
Kuna taarifa za uhakika kwa 100% kuwa serikali imeshindwa kukidhi kulipa madai ya malimbikizo ya mishahara ya wafanyakazi katika hospitali ya taifa ya Muhimbili.Malimbikizo hayo yametokana na nyongeza ya mishahara iliyotangazwa mwaka jana na serikali( salary in arrears) kwa kipindi cha july to February.
Jana kaimu Mkurugenzi mkuu wa hospitali pamoja na viongozi wa chama cha wafanyakazi MNH waliongozana kwenda wizarani kujua kulikoni pesa za malimbikizo ziwasilishwe kidogo.
Sasa tunaanza kuamini kuwa serikali imefilisika kama inashindwa kulipa hata mishahara ya wafanyakazi( preferential obligations).
 
sio MNH tu...ni idara zote za seikali mpaka sasa bila bila,kasoro wanajeshi tu
 
Kuna taarifa za uhakika kwa 100% kuwa serikali imeshindwa kukidhi kulipa madai ya malimbikizo ya mishahara ya wafanyakazi katika hospitali ya taifa ya Muhimbili.Malimbikizo hayo yametokana na nyongeza ya mishahara iliyotangazwa mwaka jana na serikali( salary in arrears) kwa kipindi cha july to February.
Jana kaimu Mkurugenzi mkuu wa hospitali pamoja na viongozi wa chama cha wafanyakazi MNH waliongozana kwenda wizarani kujua kulikoni pesa za malimbikizo ziwasilishwe kidogo.
Sasa tunaanza kuamini kuwa serikali imefilisika kama inashindwa kulipa hata mishahara ya wafanyakazi( preferential obligations).

Thread yako inakinzana yenyewe, na kuonyesha haiko makini, soma kwenye red. Hapo yaonyesha wameshindwa kulipa malimbikizo ya nyongeza na si mshahara, kama mtu alikuwa analipwa Tshs 6 na akaongezwa ikafika Tshs 10, hapo inaonyesha nyongeza ya Tshs 4 ndio haijalipwa ila Tshs 6 inalipwa kama kawaida, hapo ndipo nasema maelezo yako hayako makini
 
Thread yako inakinzana yenyewe, na kuonyesha haiko makini, soma kwenye red. Hapo yaonyesha wameshindwa kulipa malimbikizo ya nyongeza na si mshahara, kama mtu alikuwa analipwa Tshs 6 na akaongezwa ikafika Tshs 10, hapo inaonyesha nyongeza ya Tshs 4 ndio haijalipwa ila Tshs 6 inalipwa kama kawaida, hapo ndipo nasema maelezo yako hayako makini
mishahara mingi haijatoka babu wewe acha ubishi
 
Thread yako inakinzana yenyewe, na kuonyesha haiko makini, soma kwenye red. Hapo yaonyesha wameshindwa kulipa malimbikizo ya nyongeza na si mshahara, kama mtu alikuwa analipwa Tshs 6 na akaongezwa ikafika Tshs 10, hapo inaonyesha nyongeza ya Tshs 4 ndio haijalipwa ila Tshs 6 inalipwa kama kawaida, hapo ndipo nasema maelezo yako hayako makini

Unapoongelea malimbikizo ya mishahara maana yake ni mishahara, umesoma shule gani rafiki, pia kumbuka yalipashwa kulipwa wakati muafaka lakini ikashindikana kutokana na ukata.kinachoongelewa hapo ni mishahara.period
 
Unapoongelea malimbikizo ya mishahara maana yake ni mishahara, umesoma shule gani rafiki, pia kumbuka yalipashwa kulipwa wakati muafaka lakini ikashindikana kutokana na ukata.kinachoongelewa hapo ni mishahara.period

Wewe ndio hujaelewa sasa na yaonekana si mfuatiliaji wa mambo, hakuna taasisi ya serikali na hasa muhimbili kutolipwa mshahara tangu July 10 - Feb 11, linaloongelewa hapa ni nyongeza (kuwa muelewa nini maana ya nyongeza ). Sasa unaposema nyongeza , huwezi sema wameshindwa kulipa mishahara. Na elewa nyongeza ilikuwa ni kiasi kidogo hakizidi 10%, kwa hiyo 90% zimelipwa, hapo utasemaje mishahara imeshindwa kulipwa? acha kuwa mchicha mwiba wewe
 
Wewe ndio hujaelewa sasa na yaonekana si mfuatiliaji wa mambo, hakuna taasisi ya serikali na hasa muhimbili kutolipwa mshahara tangu July 10 - Feb 11, linaloongelewa hapa ni nyongeza (kuwa muelewa nini maana ya nyongeza ). Sasa unaposema nyongeza , huwezi sema wameshindwa kulipa mishahara. Na elewa nyongeza ilikuwa ni kiasi kidogo hakizidi 10%, kwa hiyo 90% zimelipwa, hapo utasemaje mishahara imeshindwa kulipwa? acha kuwa mchicha mwiba wewe

Hutaki kuaamini?? Wenzio walio serikalini wanakwambia hawajalipwa sasa ubishi wa nini mkuu?? Kama una uhakika kuwa mishahara imelipwa basi tuambie. Nakubaliana nawe mtoa mada wa kwanza kaweka utata kidogo kwa kusema nyongeza.
 
wewe ndio hujaelewa sasa na yaonekana si mfuatiliaji wa mambo, hakuna taasisi ya serikali na hasa muhimbili kutolipwa mshahara tangu july 10 - feb 11, linaloongelewa hapa ni nyongeza (kuwa muelewa nini maana ya nyongeza ). Sasa unaposema nyongeza , huwezi sema wameshindwa kulipa mishahara. Na elewa nyongeza ilikuwa ni kiasi kidogo hakizidi 10%, kwa hiyo 90% zimelipwa, hapo utasemaje mishahara imeshindwa kulipwa? Acha kuwa mchicha mwiba wewe

psychiatric case wewe
 
Serikali haiwezi kukosa pesa ya mishahara kwani kila siku TRA wanakusanya; kama ni kweli jambo hili linaweza kuwa limechangiwa na mikopo iliyotolewa kwa Wabunge maana TShs. 90,000,000 X wabunge 350 = 31.5 billion zimetoka February 2011. Tuwe na subira kodi za mishahara ya February 2011 toka secta binafsi zitalipwa kabla ya tarehe 7/3/2011 na pesa ya mishahara yetu itapatikana tuu. Tuendeleze uhusiano mzuri na wenye maduka, wauza maziwa nk. ili wasisitishe bill
 
Msimu huu ni kimbembe kwa wafanyakazi: JK alikataa kura zetu, sisi tukajipendekeza kumpa sasa tutakoma.
 
Huyo mtu anayejiita Think Twice ni aidha hana akili timamu au ametumwa na chama kuvuruga jamvi. Kwasababu kila mara anaandika opposite na wengine. Ni sawa na beattle anayeviringisha mavi kinyume nyume.

Serikali iliongoza mishahara ya wafanyakazi tangia July 2010. Kwa wafanyakazi wengi tuliendelea kulipwa mishahara ya zamani hadi November 2010 ndipo tulipoanza kupokea mishahara mipya. Hivyo basi tunadai malimbikizo ya mishahara ya miezi 4 i.e. from July-October (Malimbilkizo hayo ni mshahara mpya July - Mshahara wa zamani).

Baada ya chama chetu cha wafanyakazi TUGHE kukaa na menejimenti ya utumishi wa umma na Hazina mwezi Dec/Jan(?) walikubaliana kwamba Serikali italipa malimbikizo mishahara mwezi February. Sasa serikali imeshindwa kutumiza ahadi yake. Kumbuka nyongeza hii ya mishahara iko kwenye budget ya 2010/11. Lakini pesa ya kulipa DOWNS ambayo haiko kwenye budget ipo.

Sasa je wafanyakazi tukigoma JK kweli atasingizia CDM?!. Maana tumepitia taratibu zote kama zilivyoaanishwa kwenye sheria za kazi na majadiliano.

Mimi nafikiri serikali hii ya awamu ya nne imeshindwa kazi. TUGHE itisheni mgomo wa nchi nzima maana hii serikali ni punda na bila mturinga hatutalipwa sitahiki zetu.

Kama ni watendaji wa serikali ndiyo wanamuangusha JK ili serikali yake ichukiwe na wananchi kwanini basi hawachukulii hatua za kinidhamu na kisheria?

Ukweli ni kwamba JK is the weakest president this country had never have. Hata mzee Rukhusa alikuwa na ahueni.
 
Watu tumeisha lipwa na tumeisha umaliza mshahara wenyewe
Wewe upo idara gani ya serikali? Maana sisi wa wizara ya elimu tumepewa barua kabisa kutujulisha kwamba mishahara itachelewa mwezi huu. Hadi hivi sasa, hatujaona mshahara. Wewe unayesema umeshamaliza, bila shaka ni uzao wa mafisadi. Au unafanya kazi Ikulu? Maana nyie kwa kupendeleana hamjambo, na hilo ndilo litakalowafanya msidumu hapo Ikulu hadi 2015. Maana matendo yenu yanatutia hasira sana.
 
duh yani apo uwa kana matatzo kuanzia kwa wakubwa wa hapo wana urasimu adi kwa wadogo kuna majungu.... mnazani solidarity itatoka wapi??? mimi nlikimbia hapo ndani ya siku mbili 2 tokea niwe appointed
 
Huyo mtu anayejiita Think Twice ni aidha hana akili timamu au ametumwa na chama kuvuruga jamvi. Kwasababu kila mara anaandika opposite na wengine. Ni sawa na beattle anayeviringisha mavi kinyume nyume.

Serikali iliongoza mishahara ya wafanyakazi tangia July 2010. Kwa wafanyakazi wengi tuliendelea kulipwa mishahara ya zamani hadi November 2010 ndipo tulipoanza kupokea mishahara mipya. Hivyo basi tunadai malimbikizo ya mishahara ya miezi 4 i.e. from July-October (Malimbilkizo hayo ni mshahara mpya July - Mshahara wa zamani).

Baada ya chama chetu cha wafanyakazi TUGHE kukaa na menejimenti ya utumishi wa umma na Hazina mwezi Dec/Jan(?) walikubaliana kwamba Serikali italipa malimbikizo mishahara mwezi February. Sasa serikali imeshindwa kutumiza ahadi yake. Kumbuka nyongeza hii ya mishahara iko kwenye budget ya 2010/11. Lakini pesa ya kulipa DOWNS ambayo haiko kwenye budget ipo.

Sasa je wafanyakazi tukigoma JK kweli atasingizia CDM?!. Maana tumepitia taratibu zote kama zilivyoaanishwa kwenye sheria za kazi na majadiliano.

Mimi nafikiri serikali hii ya awamu ya nne imeshindwa kazi. TUGHE itisheni mgomo wa nchi nzima maana hii serikali ni punda na bila mturinga hatutalipwa sitahiki zetu.

Kama ni watendaji wa serikali ndiyo wanamuangusha JK ili serikali yake ichukiwe na wananchi kwanini basi hawachukulii hatua za kinidhamu na kisheria?

Ukweli ni kwamba JK is the weakest president this country had never have. Hata mzee Rukhusa alikuwa na ahueni.

Ahsante sana. Sikujua kama "shipilingitya" anaitwa hivyo kwa kiingeereza. Nadhani wewe ni daktari!
 
Back
Top Bottom